Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Wafrika hawa hawa wakiwemo watanzania,ambao ukiwa mwalimu unachekwa ila ukiwa tra,traffic,mwanasiasa unapepewa!
 
kwani wao hawafanyi vitu vya kiafrika ?
 
Babu zetu waliunda majembe ya mkono , unalitumia kwa miaka mingi tuu wakapigwa marufuku na wakoloni kuyatengeneza, sasa tuna chuma Liganga tuanze na sisi kutengeneza majembe , tutengeneze vigae vya udongo kigae cha Tanzania ni bora sana kinakaa miaka 100 vijana msihangaike kutafuta bati la msouth !
 
Imagine babu zetu walikuwa wanatengeneza mikuki na mapanga kwa moto leo hii hata wembe hatujui kutengeneza
 
Apart from inventing cooking pots, Africans never discovered anything.
Ndio ulivyodanganywa? Mbona historia aliyoandika mzungu kuhusu mwafrika anakiri kukuta ma iron smith wakifua chuma?
 
Mada kama hizi zinaandikwa na vichaa wachache wa conspirancy theory, na wapuuzi wanaamini kuwa ni inferior race na wanataka kupeleka kwa generation nyingine. Badala ya kuamini hivyo tupe wewe invention na discovery zako, au toa mchango wako ambao utatukuka hata katika field yako kwanza.

Vinginevyo kila alieunga mkono hii topic ana upumbavu mwingi, hata kama ana Phd...

Mbu tu wanaogopa kuwamaliza wote duniani, ije kuwa watu?
 
Ndio ulivyodanganywa? Mbona historia aliyoandika mzungu kuhusu mwafrika anakiri kukuta ma iron smith wakifua chuma?
Kutengeneza sufuria, uhunzi wenyewe ulikuwa primitive sana.
 
Watu weusi ni nyani wanaojua kuongea na kuvaa nguo za Wazungu
 
Ni kama wametumaluza, angalia walivyotuachia Biblia na wao wakaondoka na utajiri wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…