Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Elimu yao ni ya vitendo, ya kwetu huku, tunaulizana fuvu la kale lilivumbuliwa wapi?Kama vipi tupewe mtihani nifanye na mzungu, akifeli afe yeye
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu yao ni ya vitendo, ya kwetu huku, tunaulizana fuvu la kale lilivumbuliwa wapi?Kama vipi tupewe mtihani nifanye na mzungu, akifeli afe yeye
Ndiyo maana nilimshangaa sana jini jiwe kipindi cha udikteta wake aliposema wazungu wanaleta chanjo ili watuue waafrika. Mjinga sana yule mbwa jiweila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani
Hatari sana!!! Pengine ni wa chuo kikuu, na anasubiri ajira! (pengine) yupo kwa shemeji yake!!!Pengine mtoa mada anaitwa msomi mtaani kwao
Hujaenda kuona, ila tayari umeona ni mafafa. Kuona bila kuona ni aina ya utaahira pia. Tuishie hapa.Unajuaje kuna elimu hapa na si mafafa tupu?
Mimi naona mafafa tupu ndiyo maana sina hata mzuka wa kufuatilia. Wewe ndiye una wajibu wa kuweka link hapa.
Na inaonekana link wewe mwenyewe huna unabumbabumba tu hapa.
Hujanipa link, kwa sababu wewe mwenyewe huna.Hujaenda kuona, ila tayari umeona ni mafafa. Kuona bila kuona ni aina ya utaahira pia. Tuishie hapa.
Ni wapi nilisema ninayo? Nimekuelekeza ilipo kwa mujibu wa bibi mtangazaji.., mimi kuwa nayo au kutokuwa nayo si zuio la wewe mwenye shaka kwenda kujiridhisha.Hujanipa link, kwa sababu wewe mwenyewe huna.
Kwa hiyo unatetea jambo ambalo hata hujalipitia wewe mwenyewe. That's what I thought.Ni wapi nilisema ninayo? Nimekuelekeza ilipo kwa mujibu wa bibi mtangazaji.., mimi kuwa nayo au kutokuwa nayo si zuio la wewe mwenye shaka kwenda kujiridhisha.
Kutokuwa na link haimaanishi sijapitia, link ipo nilipokuelekeza ilipo, ifuate usome kama mimi nilivyoifuata na kusoma..Kwa hiyo unatetea jambo ambalo hata hujalipitia wewe mwenyewe. That's what I thought.
Weka link, acha longolongo.Kutokuwa na link haimaanishi sijapitia, link ipo nilipokuelekeza ilipo, ifuate usome kama mimi nilivyoifuata na kusoma..
Tatizo lipo hapo wewe unawaza kufanya mtihani kukariri kitu alichogundua mzungu ili ufauli kumzidi mzungu, wenzio hawasomi kukariri bali kupambanua ndiyo maana kina Bill gates, Zuckerberg walipofika chuo miaka michache wakaachana na chuo wakagundua vitu vyao ambavyo dunia nzima tuna itumia. Tatizo sisi tunasoma kukariri vitu walivyogundua wao ili tufaulu mitihani ndiyo maana graduates wetu wengi wenye GPA ya 4+ hawana chochote walichogundua vichwa vimejaa kukariri tu ndiyo maana Ma PhD wetu wanakimbilia bungeni kula posho kwa mgongo wa PhD, badala wao ndiyo watumike mtaani kutengeneza ma Technology wao ndiyo hawajui wafanya lolote watoboe zaidi ya kutumia phd zao kuuza sera wapate ubunge.Kama vipi tupewe mtihani nifanye na mzungu, akifeli afe yeye
DNA inahusikaje?.DNA duniani kote MTU mweusi yupo nyuma
Kweli siyo DNA bali ni IQ. Kuna watu wamekuwa busy kutuletea vyakula vya msaada hapa na chanjo mbalimbali za msaada ila behind the scene kuna ajenda nyingi sana za kututhibiti kwenye reproduction na IQ. Tunapokea chanjo na mivyakula ambayo ni genetical modified mwisho wa siku tunakuwa IQ ndogo na tusipokuwa makini tutajikuta na lowest childbirth.DNA inahusikaje?.
Elimu bila àkili? Misikiti na Makanisa vinashamiri wakati huduma za àfya zinadumaa.Shida ni elimu na viongozi hawana maono juu ya nchi zao
Analialia kama amepumuliwa na kukopwa sasa ss tuchangia nn eti irani hawatutaki hv ww irani unawataka au shule zimefungwa kupisha uchaguzPengine mtoa mada anaitwa msomi mtaani kwao
tuko bize na kulalamikia serikali, hovyo sanaWazungu wako bize na kwenda mwezini na sayari zinginezo; sisi tuko bize na nini?
Daah ila mkuu, sometime miimi nawaza Tanzania haiwezi pona tenaElimu yao ni ya vitendo, ya kwetu huku, tunaulizana fuvu la kale lilivumbuliwa wapi?