Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
UZURI WAWAARABU NI KUWA WAAFRIKA WOTE WANATUITA MAKAFIRI... POINT KUBWA SANA ME NILIJUA UKISLIM WATAKUONA KAMA MWENZAO LAKINI WAPI...
 
Hila yule mhuni Bonifasi atakuwa anawapaka mafuta na kuwafaidi sana
 
hata hizo cooking pots wachina wanazitengeneza balaa, ndio hizo birika na sahani za undongo. Wachina wanawaiga wazungu kuunda vitu, waafrika wanashindwa nini hata kuiga vya wazungu kama wachina na wahindi?
Sisi tunaiga staili za kujamiana za wazungu
 
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Tuadtahili kufutwa duniani kama viongozi tulio nao ni akina mchengerwa na mkwe wake + Mzee wa mipete + mwijaku na Steve mengele

Ifike mahali tuheshimu watu wenye akili na tuwape nafasi watuongoze
 
kinachoishumbua black race kwenye psychology tunaita replacement yani una mwaattack mtu asie na hatia ili utafute huruma /ushindwe kuface reality.

china,japan ,korea middle east they don't give a fck on Africa they mind their own business hata shule zao zinajifunza history kidogo sana kuhusu Africa

they are hustlers,wanainvest pesa,muda kukuza uchumi,elimu ,na innovations. halaf black wao ni kujiliza ili waonewe huruma
Chakushangaza miaka nenda rudi tu hatugutuki wala nn. Kiufupi we are very bright naive people in the world.
 
Si amekwambia huyo mtangazaji kwamba link za full documents zipo kwenye youtube channel yake ambapo ameweka na full interview? Au we ndo wale wa kuchangia bila kusoma?
Sioni tafiti mkuu, weka link.

Sioni hata Youtube naona Instagram.
 
Tofauti ya Afrika na mabara mengine ni kwamba Afrika ilijaaliwa natural resources.

Mabara mengine yalijaaliwa kuwa na Ancient Knowledge.

Yani walizaliwa walikuta knowledge ya toka enzi na enzi iko pale.

Kwa bahati mbaya sisi hatukufanikiwa kukuta knowledge yoyote zaidi ya rasilimali.

Vita ya kwanza ya dunia ilisababishwa na nani awe mmiliki wa maarifa ya Tartaria. Tartaria ilikuwa na utitiri wa teknolojia, hivyo mataifa makubwa yalikuwa yanagombania hizo ancient knowledge.

Mpaka leo hii kuna mambo ambayo mataifa makubwa yanatuficha. Mfano dunia hii tuijuayo haiko duara kama tunavyoambiwa. Dunia iko flat.

Na ukivuka mwisho wa dunia, huko mbele kuna viumbe wengine ambao wako more advanced kiteknolojia kutuzidi sisi. Huko ndiko hawa wenzetu wanakoenda kuchota teknolojia na kuja nayo duniani.

20240814_094234.jpg


20240820_103113.jpg


20240818_175627.jpg


20240818_150540.jpg
 
Back
Top Bottom