Sakasaka Mao
JF-Expert Member
- Sep 29, 2016
- 12,826
- 17,371
DNA imefanyaje?Africa tatizo ni DNA .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DNA imefanyaje?Africa tatizo ni DNA .
Tatizo sio DNA mwafrika akigundua kitu wala hakiwezi kutiliwa manani kuanzia na serikali zetu. Pia kinachotusumbua Africa ni ugonjwa wa husuda wazungu hawana huu ugonjwa.Africa tatizo ni DNA .
Kwàni wazungu hawana DNA?Africa tatizo ni DNA .
Ta
Tatizo sio DNA mwafrika akigundua kitu wala hakiwezi kutiliwa manani kuanzia na serikali zetu. Pia kinachotusumbua Africa ni ugonjwa wa husuda wazungu hawana huu ugonjwa.
Just imagine 😂😂😂Pengine mtoa mada anaitwa msomi mtaani kwao
Hii thread ni pathetic, muondolewa kwa sababu zipi?View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Hitaji ni Uhuru.Kwani tuliwacha lini kutawaliwa? Dada zako wangapi bado ni weusi?
Wazungu wanatukingia kifua ??????!View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
alafu eti anayetukingia kifua ni Mzungu. 😅Hii thread ni pathetic, muondolewa kwa sababu zipi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wazungu wanatukingia kifua ??????!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kichekesho [emoji28][emoji23]
Kwa sababu Uchumi wote wa hii Dunia wanaushikilia wao Wazungu !Kukiwa na mapigano hapa afrika na wakimbizi wakikimbia ni nani anayewapa asylum? Kuna wakimbizi wanenda Doha, Saudi au Dubai? Si wakimbizi wote wanaenda ulaya
Wazungu siyo wote wanaajenda sawa. Wako wanaotupambania sana tu dhidi ya mipango mibaya. Kumbuka ni wazungu baadhi ambao walipigana vita marekani dhidi ya wazungu wenzao kuhakikisha weusi wanakuwa huru toka utumwani. Hadi leo hii kuna wazungu wengine, wachina, wa Irani, waarabu na wa asia wanawashangaa wazungu ambao walitupambania tuwe huru ukizingatia tuna mijitu mabogas kama wewe ambao tunakaa kwenye bara lenye rasilimali nyingi lakini bado tunaishi kama manyaniH
alafu eti anayetukingia kifua ni Mzungu. 😅
Tena nadhani huyo Mzungu ni Rais Trump 😂😂😀
Mimi sio mwenzako samahaniWewe upo kundi gani?
Rejea comment yanguWe ni mweupe nn?