Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

So ulitaka Wathailand wa uwawe..? na siyo mTz, sasa ndyo nn sindo yaleyale. Wazee Acheni hizi mambo za ubaguzi.
Aisee we Bingwa wa kugeuza hoja ukweli ni kwamba Hamas wamemuua Molel kwa ajili ya Rangi yake.
 
Wazungu siyo wote wanaajenda sawa. Wako wanaotupambania sana tu dhidi ya mipango mibaya. Kumbuka ni wazungu baadhi ambao walipigana vita marekani dhidi ya wazungu wenzao kuhakikisha weusi wanakuwa huru toka utumwani. Hadi leo hii kuna wazungu wengine, wachina, wa Irani, waarabu na wa asia wanawashangaa wazungu ambao walitupambania tuwe huru ukizingatia tuna mijitu mabogas kama wewe ambao tunakaa kwenye bara lenye rasilimali nyingi lakini bado tunaishi kama manyani
Kwakweli mabogas ni Wengi !
😂😅😀
 
Watachukua muda course na wao wanamakundi
Na kipi hasa cha kuwafanya watu weupe watake kuwaondoa watu wa rangi nyingine. ??!
Hii maneno haingii akilini kabisa !
Hao jamaa naamini sio wajinga kiasi hicho !
Na ieleweke hii Dunia watu wote tunategemeana!
Tajiri atakuwa na shida na masikini amfanyie kazi zake na masikini hali kadhalika atakuwa na shida na tajiri ili apate ajira !
Siku zote tukumbuke uzuri wa Dunia unaletwa na mchanganyiko wa rangi tofauti tofauti 🙏🙏
 
Lifutwe tu, maana kuna wasomi ukiwangalia vitu wanavyofanya unaniuliza hawa Mungu kawajalia elimu tukijua watatusaidia kutuvusha kumbe uwiii! Ukianza na majumbani hawaeleweki ni hovyo kabisa, wamebeba makomwe yao nikama mzigo tu
 
Inasikitisha kwa kweli, teknolojia zinazotumika duniani wanagundua weupe, mpaka kulima kwa mkono weupe wanagundua vipawatila vya kunyanyua kwa mikono. Mwafrika anatumia tu teknolojia walizogundua na kutengeneza weupe
Ilikuwa mbuni wa teknolojia duniani inahitaji kuwekeza kwenye elimu bora. Elimu bora inawezesha tafiti bora kufanyika na hicho ndicho kitu kubwa kwenye kupata teknolojia mpya
 
Na kipi hasa cha kuwafanya watu weupe watake kuwaondoa watu wa rangi nyingine. ??!
Hii maneno haingii akilini kabisa !
Hao jamaa naamini sio wajinga kiasi hicho !
Na ieleweke hii Dunia watu wote tunategemeana!
Tajiri atakuwa na shida na masikini amfanyie kazi zake na masikini hali kadhalika atakuwa na shida na tajiri ili apate ajira !
Siku zote tukumbuke uzuri wa Dunia unaletwa na mchanganyiko wa rangi tofauti tofauti 🙏🙏
Wanaraka watu weusi tufwee karibu wote ni kikundi cha watu tu sio wote
 
Tunapiganishwa kama mambuzi huko Kongo, hatujitambui, nakubali bila wazungu wachache wenye moyo safi, races za mtu Mweusi zingeondoshwa mapema sana duniani, infact hata HIV, hili ni jaribio la siri lililofail, although wapo ambao wapo kwenye labs mpaka wakati huu, na Ukraine ndipo kwenye labs kubwa na nzuri sana, hii melanin yetu hii.
 
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Hiyo mipango ya siri iko wapi?
 
Hofu tu na mbinu za kujustify ujinga wetu! Hatujachangia lolote kwnye maendeleo ya dunia zaidi ya mbolea nani apoteze resources zake kutumaliza?
 
Achana na ujinga huu.

Wangetaka kuua Waafrika wewe usingekuwapo hapa. Ungeshakufa na surua zamani sana.
Tafita hupingwa kwa tafiti, ujinga ni kusuggest otherwise.

Pia tofautisha kutaka ‘kuua’ na ‘kudhibiti idadi’. Au huna uwezo wa kutofautisha ili kindly usaidiwe?

Lengo ni ‘kudhibiti idadi’ sio ‘kuua’, Get it?
 
Tafita hupingwa kwa tafiti, ujinga ni kusuggest otherwise.

Pia tofautisha kutaka ‘kuua’ na ‘kudhibiti idadi’. Au huna uwezo wa kutofautisha ili kindly usaidiwe?

Lengo ni ‘kudhibiti idadi’ sio ‘kuua’, Get it?
Sasa hapo tafiti iko wapi?
 
Back
Top Bottom