Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 20,654
- 35,887
What about maji & mafuta ya upako.Apart from inventing cooking pots, Africans never discovered anything.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
What about maji & mafuta ya upako.Apart from inventing cooking pots, Africans never discovered anything.
That is fraud, not discovery.What about maji & mafuta ya upako.
So ulitaka Wathailand wa uwawe..? na siyo mTz, sasa ndyo nn sindo yaleyale. Wazee Acheni hizi mambo za ubaguzi.Hata Hamas hawatupendi kabisa sisi Waafrika, uliona ile Video walivyomuua yule Mtanzania na kuwaacha wale Wathailand?!
AiseeKuna clip nimeitafuta ila naikosa, kuna mzungu mmoja alifichua siri ya black people kuwa targeted for elimination worldwide
Aisee we Bingwa wa kugeuza hoja ukweli ni kwamba Hamas wamemuua Molel kwa ajili ya Rangi yake.So ulitaka Wathailand wa uwawe..? na siyo mTz, sasa ndyo nn sindo yaleyale. Wazee Acheni hizi mambo za ubaguzi.
Kwakweli mabogas ni Wengi !Wazungu siyo wote wanaajenda sawa. Wako wanaotupambania sana tu dhidi ya mipango mibaya. Kumbuka ni wazungu baadhi ambao walipigana vita marekani dhidi ya wazungu wenzao kuhakikisha weusi wanakuwa huru toka utumwani. Hadi leo hii kuna wazungu wengine, wachina, wa Irani, waarabu na wa asia wanawashangaa wazungu ambao walitupambania tuwe huru ukizingatia tuna mijitu mabogas kama wewe ambao tunakaa kwenye bara lenye rasilimali nyingi lakini bado tunaishi kama manyani
Na kipi hasa cha kuwafanya watu weupe watake kuwaondoa watu wa rangi nyingine. ??!Watachukua muda course na wao wanamakundi
Aliyewaumba hawezi akawaruhusu wafanye hivyo !Wakiamua mwaka hauishi
Ilikuwa mbuni wa teknolojia duniani inahitaji kuwekeza kwenye elimu bora. Elimu bora inawezesha tafiti bora kufanyika na hicho ndicho kitu kubwa kwenye kupata teknolojia mpyaInasikitisha kwa kweli, teknolojia zinazotumika duniani wanagundua weupe, mpaka kulima kwa mkono weupe wanagundua vipawatila vya kunyanyua kwa mikono. Mwafrika anatumia tu teknolojia walizogundua na kutengeneza weupe
Niamini mimi wakiamua wanaleta hata chanjo feki wote mnakua mashogaWatachukua muda course na wao wanamakundi
Wanaraka watu weusi tufwee karibu wote ni kikundi cha watu tu sio woteNa kipi hasa cha kuwafanya watu weupe watake kuwaondoa watu wa rangi nyingine. ??!
Hii maneno haingii akilini kabisa !
Hao jamaa naamini sio wajinga kiasi hicho !
Na ieleweke hii Dunia watu wote tunategemeana!
Tajiri atakuwa na shida na masikini amfanyie kazi zake na masikini hali kadhalika atakuwa na shida na tajiri ili apate ajira !
Siku zote tukumbuke uzuri wa Dunia unaletwa na mchanganyiko wa rangi tofauti tofauti 🙏🙏
Mtu mweusi ndiye mtu anayeongoza kwa kuzaa duniani, kawaacha wengine kwa mbali sana.
Unamuondoaje duniani sasa?
Kwa kasi ya kuzaana ya sasa watu weupe wanaweza kufutika kabla ya weusi duniani.
Hiyo mipango ya siri iko wapi?View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Tafita hupingwa kwa tafiti, ujinga ni kusuggest otherwise.Achana na ujinga huu.
Wangetaka kuua Waafrika wewe usingekuwapo hapa. Ungeshakufa na surua zamani sana.
Sasa hapo tafiti iko wapi?Tafita hupingwa kwa tafiti, ujinga ni kusuggest otherwise.
Pia tofautisha kutaka ‘kuua’ na ‘kudhibiti idadi’. Au huna uwezo wa kutofautisha ili kindly usaidiwe?
Lengo ni ‘kudhibiti idadi’ sio ‘kuua’, Get it?