Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukiwa na mapigano hapa afrika na wakimbizi wakikimbia ni nani anayewapa asylum? Kuna wakimbizi wanenda Doha, Saudi au Dubai? Si wakimbizi wote wanaenda ulayaMleta mada una hoja tatizo lako huna taarifa za kutosha na maadui umewaacha unataja wasiohusika au una mahaba na wazungu na chuki kwa wengine ngoja nikupe mfano; Dr Robert Gallo aliunda strain za HIV kwa lengo la kuondoa black race huyu ni Myahudi, Thomas Malthus huyu mzungu ndo alileta wazo la depopulation kupitia vita, magonjwa n.k
Hata sijasoma bandiko lako....acha watuue tu wote, hatuna mchnago wowote duniani zaidi ya kuzaliana tu. Hata kujiongoza wenyewe hatuweziView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Vijana wenyewe mathematics physics hawataki kusomaView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Rudia ile historia ya darasa la sita " wakushi au wanabi waliishi wapi" na huko walipo ishi walivumbua nini ambacho ndicho chanzo cha maendeleo yote humu duniani? Usimsahau pia mzee Zinjanthropus na mahabafri yake bila kujali yule doctor Leakey wa oldvua goji na utafiti wake... mengine mengi yamo vitabuni ila sis bado tunasinzia na vitatari na simu za vitochi...Apart from inventing cooking pots, Africans never discovered anything.
Ukweli machungu.Hata sijasoma bandiko lako....acha watuue tu wote, hatuna mchnago wowote duniani zaidi ya kuzaliana tu. Hata kujiongoza wenyewe hatuwezi
Shida ni Viongozi wa sasa kungangania madaraka na kutumia mbinu nyingi na kariby zote kubakia madarakani, hata kama ni mapenzi, style lazima ibadirike sio kila siku hiyo hiyo kifo cha mende, wanachokaga eti...Shida ni elimu na viongozi hawana maono juu ya nchi zao
Thread ya hovyo kuwahi kuisoma Toka nimejiunga jamii forumView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Popo kanyea mbingu aligundua mzungu gani?!!!!!Hivi watu weusi tuna mchango gani positive hapa duniani?
Sio waafrika ccm ni janga la taifa hiliView attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika