Hahaha yaani mijitu rangi nyeusi hata kazini majungu hakuna vision kuchungulia deal na ujinga ujinga mwingiMfe tu hata akili ya kusimamia uchaguzi hamna mmebaki kuenguwa watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha yaani mijitu rangi nyeusi hata kazini majungu hakuna vision kuchungulia deal na ujinga ujinga mwingiMfe tu hata akili ya kusimamia uchaguzi hamna mmebaki kuenguwa watu.
Zipo clip nyingi sana za mipango ya kutupunguza au kutuondoa kabisa.Kuna clip nimeitafuta ila naikosa, kuna mzungu mmoja alifichua siri ya black people kuwa targeted for elimination worldwide
Kwenye Maneno yote aliyoandika Mtoa Mada hamna note hata moja imekugusa.Thread ya hovyo kuwahi kuisoma Toka nimejiunga jamii forum
Hio mathematics na physical unayoisemea nikama history tu hatuwez kudeliver kujikwamua zaid yakuzalisha wakalili wamatheoryVijana wenyewe mathematics physics hawataki kusoma
Hiv hizo bidhaa wanazotengeneza unafikiri consumers ni watu gan?Hivi watu weusi tuna mchango gani positive hapa duniani?
Sikutaka kureply humu ila nimependa sana hii reply yako. Post yako ni fupi ila imebeba ujumbe mkubwa sana.kinachoishumbua black race kwenye psychology tunaita replacement yani una mwaattack mtu asie na hatia ili utafute huruma /ushindwe kuface reality.
china,japan ,korea middle east they don't give a fck on Africa they mind their own business hata shule zao zinajifunza history kidogo sana kuhusu Africa
they are hustlers,wanainvest pesa,muda kukuza uchumi,elimu ,na innovations. halaf black wao ni kujiliza ili waonewe huruma
Umelala?View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.
Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.
Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.
Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Sawa ISIS wakija hapa utawaonyesha huo weupe wako wa mkorogo watajua wewe ni muarabu uliyevaa kimini na ni mcha mungu watakupa heshima yako.Umelala?
Tymewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:
View attachment 3148134
Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.
Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.
Kama unabisha katazame bunge letu Qatanznia wa kike wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.
Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.
Huko ndiyo bado kutawaliwaUmelala?
Tymewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:
View attachment 3148134
Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.
Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.
Kama unabisha katazame bunge letu Qatanznia wa kike wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.
Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.