Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

sasa wakituondoa watafaidika nini? sisi tukiwa hai ndio wanatufaidi kama haujui, maiti haina msaada wowote. wao wanatuhitaji sana kwakua sisi ndio soko la BIDHAA zao, hata kwa kufanya nao BIA$HARA kwa MKOPO wao wanafurahi tu ili, tushindwe kurejesha mkopo, kisha watunyang'anye RA$ILIMALI zetu kwa kalamu na karatasi.
HUZUNI ni kwamba baadhi ya WAZUNGU wenye AKILI kubwa kila uchwao wana_GUNDUA teknolojia mbali mbali za kurahisisha MAISHA yao hapa DUNIANI,
WAKATI huo WABONGO wengi wao wana_KUNDUA miili ya wapenzi wao.
 
Thread ya hovyo kuwahi kuisoma Toka nimejiunga jamii forum
Kwenye Maneno yote aliyoandika Mtoa Mada hamna note hata moja imekugusa.
Hakuna kitu cha ovyo, Wewe ni wa hovyo.
Kazungumza Kuhusu Future.
Future ya Afrika.
Afrika inaelekea Wapi?
Afrika imefikia wapi?
Historia Haisemi Vizuri kuhusu Afrika.
Je, leo inasema vipi kuhusu Afrika?
Kuna utofauti gani kati ya Historia na Leo ya Afrika with the comparison to Asia ,Europe na America?
Mababu walishindwa kujilinda Wakatawaliwa.
Mali zikaibiwa.
Kikazaliwa kizazi cha Wakombozi Wakakomboa Afrika.
Walikuwa na dhima na dhamira
Afrika iwe huru.
Je, kweli Afrika ipo huru?
Sawa, Afrika tayari imekombolewa kiasi.
Je, ukombozi kamili utapatikana lini?
Njaa imekusumbua takribani Miaka miwili ,miaka yote miwili ulaji wako wa shida, chakula kinapatikana kwa shida.
Sababu sababishi ulidhulumiwa mali ikiwemo mashamba na chakula, kwa sababu Mdhulumu alikuwa anakuzidi nguvu ,Nguvu yake ni Maarifa yake Akakutapeli.
Leo haki inapatikana siyo kamili.
Mtetezi kakutetea kaenda zake.
Kweli unashindwa kutafuta haki kamili,
Uwe huru?
Je, vipi akikurudi tena Mdhulumu, utamshinda ingawa bado kakuzidi Nguvu na Maarifa?
Afrika Amka.
 

Attachments

  • IMG_20241109_230824.jpg
    IMG_20241109_230824.jpg
    402 KB · Views: 4
kinachoishumbua black race kwenye psychology tunaita replacement yani una mwaattack mtu asie na hatia ili utafute huruma /ushindwe kuface reality.

china,japan ,korea middle east they don't give a fck on Africa they mind their own business hata shule zao zinajifunza history kidogo sana kuhusu Africa

they are hustlers,wanainvest pesa,muda kukuza uchumi,elimu ,na innovations. halaf black wao ni kujiliza ili waonewe huruma
Sikutaka kureply humu ila nimependa sana hii reply yako. Post yako ni fupi ila imebeba ujumbe mkubwa sana.
It's a time to wake up, tuachane na hii victim mentality ndo inatufelisha Waafrika! 🙏
 
Kuna swali la kujiuliza hapa; yule binadamu wa kwanza kuumbwa, alikuwa muarabu, mzungu, mhindi au mwafrika? Je, na hizi rangi zingine zilitokea wapi au zilibadilikaje badilikaje kutoka kwa binadamu wa kwanza?​
 
Wakitaka kumaliza waafrica hakuna wa kuzuia, mzungu hana haja ya kuumiza kichwa akiwapa watu weusi silaha watauwana wao wenyewe au akipewa pesa kiongozi mweusi hata bara zima atalimaliza

Africa ni shamba Lao lenye rutuba wanavuna watakavyo na huku ndio soko Lao kubwa la dawa,silaha na bidhaa nyingi.
 
View attachment 3148024
Wakati viongozi wetu wako busy kununua madege ya kula bata na kizurula duniani badala ya kutengeneza mikakati ya kutengeneza ndege zetu za vita na mabomu ya nyuklia ya kujilinda dhidi ya vita ya tatu ya dunia waafrika tumejisahau sana ila tungejua tu kuwa bila mzungu kutukingia kifua hakuna race nyingine duniani ina hamu ya kuona waafrika tunaishi duniani hapa kabisa wakati hatuna mchango wowote katika maendeleo ya dunia hii ukizingatia idadi ya watu imeshafika billion 7 na mahitaji ya rasilimali zinazidi kupungua.
Corona ilikuwa jaribio lililofeli la wuhan bila mzungu kuingilia kati tusingetoboa.

Waafrika inabidi tuchague viongozi wenye akili ambao watajua kuwa kuweza kuendelea kubakia duniani hapa ni kuwa mbabe kwenye teknolojia na silaha za kivita wala siyo kununua madege ambayo unatumia mzungu akipenda.

Waafrika tuamke tuache starehe za mzungu kuna watu wanatamani watupige nyuklia tuondoke sema tu mzungu mstaarabu ila ustaarabu utawashinda nao maana kuna wairani hawatutaki kabisa sisi waafrika , pia wa Asia nao hawatutaki kabisa imagine warabu hadi leo wanatuita watumwa.

Ifike wakati tujikite kwenye teknolojia tuache kudhani kwamba kilakitu tunachokitumia lazima kitoke nje hata toothpick tutakuja kupigwa vibaya sana, tunakoelekea ni giza baya sana kwetu waafrika.
Kama hatuna viongozi wa kuweza kutuongoza kujisimamia kitechnolojia sisi wafrika hatuna tofauti na mifugo basi tusubiri kuchinjwa kama kuku au kitimoto siku ikifika
Umelala?


Tumewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:

1731185410426.png


Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.

Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.

Kama unabisha katazame bunge letu wabunge wa kike, kama siyo wengi, wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.

Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.
 
Umelala?


Tymewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:

View attachment 3148134

Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.

Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.

Kama unabisha katazame bunge letu Qatanznia wa kike wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.

Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.
Sawa ISIS wakija hapa utawaonyesha huo weupe wako wa mkorogo watajua wewe ni muarabu uliyevaa kimini na ni mcha mungu watakupa heshima yako.
 
Umelala?


Tymewastukia zamani, siku hizi utamuua asiye na pesa tu. Wenye pesa wote hatuna huo utambulisho wako wa "mtu mweusi". Bisha:

View attachment 3148134

Rngi nyeupe tunakula vidonge au gtunajidunga sindano. Nywele za kipilipili tunakula vodoinge zisiote, tunanunuwa za maiti wa India na Brazil.

Hata mabaki ya kwenye magoti na vifundo siku hizi hatuna, tumeshapata Mwarubaiuni.

Kama unabisha katazame bunge letu Qatanznia wa kike wote wamekuwa Waarabu kama Azan Zungu.

Usitudharau wenye pesa zetu, kama kuna weusi waliobaki labda kijijini kwenue huko.
Huko ndiyo bado kutawaliwa
 
Back
Top Bottom