Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba wamevamia Avic Town na mabomu ya chupa ya kurushwa na mkonoWadau kama heading inavyojieleza muda huu kihamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikunwa kama minne yasijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Nimeamka piaWadau kama heading inavyojieleza muda huu kihamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikunwa kama minne yasijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Hapo njiapanda ya Kibada kwenda darajani?Wadau kama heading inavyojieleza muda huu kigamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikubwa kama minne sijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Isije kua ni matank ya mafuta na Gas yanalipuka huko Kigamboni kwenu!!??Wadau kama heading inavyojieleza muda huu kigamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikubwa kama minne sijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Ukisikia hatari kma ivo usijaribu kwenda kuangalia mna na ww unaweza kuzolewa na hio hatariNenda sauti inapotokea uangalie afu utatupa mrejesho
Simba watavamiaje wakati leo wana mechi inayotishia nafasi yao.Simba wamevamia Avic Town na mabomu ya chupa ya kurushwa na mkono
Siku nyingine ukisikia milipuko huwe unatoka nje ujiridhishe kinachoendelea yawezekana majirani wenzio wanavamiwa na wanaitaji msada wako.Wadau kama heading inavyojieleza muda huu kigamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikubwa kama minne sijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Nilishapoteza ndugu kwa ujinga huu wa kutoka nje kwamba jirani anavamiwa, alisikia kelele kutoka nje akala shabaSiku nyingine ukisikia milipuko huwe unatoka nje ujiridhishe kinachoendelea yawezekana majirani wenzio wanavamiwa na wanaitaji msada wako.
Mkuu vipi? Umeamka salama? Ilikuwa milio ya nini?Wadau kama heading inavyojieleza muda huu kigamboni mnadani nimeshtushwa kutoka usungizini na milio mikubwa kama minne sijui kuwa risasi au mabomu.
Mdau mwenye info yoyote aiweke hapa maana hadi usingizi umekata.
Jidanganye siku zoteee mazingira ya Tish Tash mtoa msaada ndie anae umia.Siku nyingine ukisikia milipuko huwe unatoka nje ujiridhishe kinachoendelea yawezekana majirani wenzio wanavamiwa na wanaitaji msada wako.
Kifo hakikimbiwi.Mengine ni mbwembwe tu za binadamu.ila kikija kimekuja.Nilishapoteza ndugu kwa ujinga huu wa kutoka nje kwamba jirani anavamiwa, alisikia kelele kutoka nje akala shaba