Kuna mitaa imelaaniwa

Maeneo yenye waislam wengi, walikopita Waarabu.
 
Hivyo mitaa mara nyingi wanajivumia uchawi
 
Na serikali makini ya CCM
 
Nimeishi mwananyamala kwa kopa, keko machungwa/magurumbasi, kawe ukwamani, kawe mzimuni na sasa hivi Niko kibanda maiti naunga mkono hoja.
Mkuu umefika chekereni nyuma ya bar ya mrutu... Ni kwere pande zile
Hahaha, napajua tu kwny Bar ya Mrutu pale chekereni kutokea Moshono kuelekea barabara ya East Africa
 
Kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya umasikini na uislamu! Ebu angalia mitaa ambayo wakaaji wake wengi ni waislamu na angalia hali ya huo mtaa au mji!!! ni shida!
Mbona Dar es Salaam mpaka wakautolea jina kuna waislamu na matajiri wengi Nchi hii ni waislamu. Hizi chuki za kidini ndio zinawapofusha. Nenda Rombo kuna umaskini wa kutisha na vijana wengi ni walevi au wavuta bangi nao ni waislamu?Tembelea Singida vijijini kwa kina Mwigulu na Lisu uone umaskini wa kutisha.Wewe kwenu wapi kusiko ishi maskini?
 
Namba yako ya simu hawana ila maisha yako yote wanayajua mpaka muda unapoanza kukoroma wanaujua [emoji23]

Ila ugali kwa kichwa kuku mbona hiyo kali sijawahi sikia wala kuona mmmm
 
Kwa maneno yako a mikoa ulioitaja je unatuhakikishia umewazidi kipato hao wote wakwe ye hiyo mikoa?
 
Namba yako ya simu hawana ila maisha yako yote wanayajua mpaka muda unapoanza kukoroma wanaujua [emoji23]

Ila ugali kwa kichwa kuku mbona hiyo kali sijawahi sikia wala kuona mmmm
Bro tembea uone , ukipata time tembelea ile keko iliyo nyuma ya gereza almaarufu keko bondeni huko hawaoni ajabu mtu unachinja kuku mtu akuombe kichwa ili akale na ugali ni kawaida sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Elimu
 
fact!!!
 
Wakati unalalamika kuwa huu mtaa Una laana na kuendekeza ,pombe ,bangi na wakanawake wenzenu wapemba hawacheki na kima wanapiga pesa mitaa hiyohiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…