Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Ninaangalia hii game ya Afcon kati ya Cape Verde na Senegal , kiukweli hii red card aliyopewa huyu mchezaji wa Cape Verde siyo Sahihi .
Nikilinganisha na yaliyotokea jana kati ya Wenyeji Cameroon na Comoro , ni wazi kwamba kuna Mkakati wa kuzibeba timu za ukanda mmoja , hii ni fedheha kwa Africa .
Nikilinganisha na yaliyotokea jana kati ya Wenyeji Cameroon na Comoro , ni wazi kwamba kuna Mkakati wa kuzibeba timu za ukanda mmoja , hii ni fedheha kwa Africa .