Kuna Mkutano Julai 22, 2023 unaandaliwa na UWT Mkoa wa Arusha kushirikisha Manyara, Kilimanjaro na Singida ukihusishwa na DP World

Kuna Mkutano Julai 22, 2023 unaandaliwa na UWT Mkoa wa Arusha kushirikisha Manyara, Kilimanjaro na Singida ukihusishwa na DP World

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Ninashauri kila mwenye mke au mchumba au rafiki wa kike anayehudhuria mkutano huo wa kujadili DP world ampe nakala ya huo mkataba wa kihuni ausome.

Kila mtu aelimishe mwenzake kuhusu mkataba huo madhara yake na mapungufu yaliyopo.

UWT wana uelewa mdogo na kuhusu mkataba huo hawajaelimisha mapungufu yake.

CCM inatumia hila, mbinu na kila njia ili ujinga huo upitishe.

Wasome pia adhari za mikataba mibovu aliyoingia kikwete na kuivuja magufuli.

2b4a3c06-c8c8-4aef-b0f5-2f7b7898e77a.jpeg
 
Jamaa ameuliza ukomo wa Mkataba wa Bandari!
 
Back
Top Bottom