Hii movie siichokagi..tena ngoja leo niirudieukisikia umelogwa halafu aliyekuroga kafa ndio hii drag me to hell sasa. Hakuna mganga aliyeweza kumponya Ile curse ya yule Bibi hadi dada wa watu alikufa.
Subiria part 2 itoke yule jamaa utamuona tenaBig up mkuu.
A quiet place niliicheki sio mbaya na yenyewe, ilinisikitisha kule mwisho yule jamaa alivyojitoa kafara kwa ajili ya wanawe.
Yule jamaa hakufaDuh! Kumbe Kuna sehemu ya pili inakuja?
Interested [emoji2955]
Curse of LaLonaNgoja nianze na hizi Kwanza[emoji116]
-Drag me to hell
-Anabelle zote
-Mama
-Evil dead
Ya kutisha ni the same as exciting???Ni kitu kizuri, tena zima taa, it's exciting alot
Naam...jamaa ana utan na mijered huyu..eti anasema aitishi hahahaha@dvj nasmiletz mkuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hii kitu nishaipa priority number one maana sio kwa kupigiwa promo huku!Aisee Drag me to hell ni nzuri sana
Fz movies , mbona Kama movie zao azina quality nzuri, torrent ndo Kuna movies HdDah mkuu umeua!
Ntachagua baadhi hapa nikacheki sijajiunga Netflix hata kuitumia sijui huwa na download kupitia Fzmovies.net
Ila ntazipakua nyingi kadri niwezavyo nizicheki Asante Sana mkuu.
Au sio?Katafute move moja inaitwa MUNAFIK halafu utakuja kunambia
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Imenivutia hii ngoja nilite nayoEml street chini ya mtu baya Freddy Kruegger hahaha
Namkubali sana jamaaa, ukilala tu ana wewe.
Kweli tuliwaogopa enzi zile Shumileta, Nsyuka sijui Saladin hahah.Kuna moja inaitwa shumileta, ebana daah, naogopa kuelezea apa lisije likanitokea dude lile
Story hata kwa ufupi mkuu inahusu Nini?Mkuu kuna mzigo unaitwa the devil's passeger weka mbali na watoto hiyo kazi
We mdada huogopi hayo madude??Hii movie siichokagi..tena ngoja leo niirudie
Quality si unachagua mwenyewe mkuu? Ishu bajeti yako ya bando tu!Fz movies , mbona Kama movie zao azina quality nzuri, torrent ndo Kuna movies Hd
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka kuniambia alivyoshambuliwa na lile dude hakufa yule jamaa?Yule jamaa hakufa