Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,963
- 3,685
Mama 2013
View attachment 1708749
View attachment 1708749
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaitwa THE CONJURINGNgoja niitafute hio the injury niitizame
Hii nayo inatajwa tajwa Sana hiiMama 2013
View attachment 1708749
Big up mkuu.The Quite Place.
The Sand.
The Ruins.
Anaconda 3
Conjuring
Nikikumbuka zingine zilizonikosha nitaleta
Fanya hivyo mkuu usiache kuleta.The Quite Place.
The Sand.
The Ruins.
Anaconda 3
Conjuring
Nikikumbuka zingine zilizonikosha nitaleta
Big up mkuu.
A quiet place niliicheki sio mbaya na yenyewe, ilinisikitisha kule mwisho yule jamaa alivyojitoa kafara kwa ajili ya wanawe.
Duh! Kumbe Kuna sehemu ya pili inakuja?Kweli mkuu. Pia Hii quite place tunasubiria part 2 yake sasa.
Already noted!Drag me to hell
Vineyard
Humo kuna pepo linaitwa Lamia.lilimsumbua dada mmoja mpaka akajuta kuzaliwaAlready noted!
Naanza nayo hii maana naona wadau wanaikubali sana
Humo kuna pepo linaitwa Lamia.lilimsumbua dada mmoja mpaka akajuta kuzaliwa
Inategemea na channel husika channels nyingi wanaweka na subtitles hasa za kihindiHuko telegram wanaletaga movies na subtitles zake za kiingereza?
Maana Mimi siwezagi kucheki movie bila subtitle.
Hizi zinasaidia kuburn unnecessary fat kwenye mwili wako na pia kuondoa roho ya hofuNi nini nijitese bure niangalie movies za kutisha ili nigundue nini??
Usisahau kuleta mrejesho humu baada ya kuwafanyia tathmini Valak na LamiaNgoja nidili nayo weekend hii
Afu nione Kati ya Valak na Huyo Lamia Nani ana varangati kushinda mwenzie😄
Sawa mkuu ntajaribu kuinyaka Moja nioneInategemea na channel husika channels nyingi wanaweka na subtitles hasa za kihindi
Thanks mkuu ila hiyo ambayo umesahau jina kisa chake kimenivutia.Kuna movi moja jina nimeisahau iko hivi, hautakiwi kusinsia, ukilala tu inakuwa Kama ndoto ... Ndo mtu akufa ivo...
Quit place
Cannibalism
The nun.
The thing.
Tafuta hizo movie