HumbleBoy98
JF-Expert Member
- Aug 30, 2020
- 387
- 396
- Thread starter
- #61
Duh! Kumbe?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Kumbe?
Vijana kadhaa walienda kufanya research kwaajili ya kustaharabisha jamii fln iliyokuwa na mila potofu kabla ya kufika kule wakapata ajali kwenye misitu ya amazon ambako walikutana na raia flan wanaokula watu walifyekwa karibu wooteInahusu Nini mkuu?
Tena ya kitoto asa. Ila zile actions zake kama zinashtusha flan iviIT mbona haitishi
Pole Sana mkuu japo siifahamu hiyo movieJana nimetizama Tenants ile ya ki espaniol na vile nina fear ya trypothobia dah sikuweza kula wala kupata usingizi maana ngozi ilisisimka sana
Asante Sana mkuu Nita appreciate Sana.Nmesahau na Omen 666. Niliziona zamani sana zipo part 3.
Mie nimeangalia sana horror films, nshazisahau titles. Ila nikikimbuka ntakuwa nakutajia.
Kuna:
Light out
Ouija
No body sleep in the wood tonight
The Ring
Insidious
Paranormal activity
Mmh interesting 🤨Vijana kadhaa walienda kufanya research kwaajili ya kustaharabisha jamii fln iliyokuwa na mila potofu kabla ya kufika kule wakapata ajali kwenye misitu ya amazon ambako walikutana na raia flan wanaokula watu walifyekwa karibu woote
ewaaa mimihizo ndio zangu kina moorim school, city hunter na zinginezoWe utakuwa mpenzi wa Korean series bila Shaka au comedy comedy zile!
Huko telegram wanaletaga movies na subtitles zake za kiingereza?Telegram, follow channels za movies ziko nyingi mno
I knew it!😀ewaaa mimihizo ndio zangu kina moorim school, city hunter na zinginezo
umesoma shule gani ?Huko telegram waalete movies n subtitles zake za kiingereza?
Maana Mimi siwezagi kucheki movie bila subtitle.
giant iko vzr mnoo nimeshaiona hiyo mimi movie watu wanaliwa na binadam wenzao au mambo ya mizimu hell no siwezi nitakua naangalia jicho moja au niondoke kabisa eneo hilo angalau kidogo adventure movies najikaza mno kuziangalia hiz n zile majamaa labda wameenda kutaliaa msituni mara watokewe na wanyama waajabu napo pia naogopa ila kiasi naweza jikaza hizo thriller sijui horror angalieni tu mie zimenishindaI knew it!😀
Huwa sishawishikagi Sana na Korean series ila Kuna Moja niliicheki kidogo niliielewa.
Inaitwa 'Innocent defendant' story yake Ni very interesting.
Ila nikipata muda nataka nitafute na ile ya kuitwa 'IRIS' na nyingine inaitwa 'GIANT' maana nilionaga wadau kibao humu wanazisifia Sana.
Afu hii kitu hii...Drag me to hell ni must watch [emoji108]
Sijajua kwanini umeniuliza hili swali kiongozi, ila Kama Ni kwasababu ya makosa ya kiuandishi nimeshaedit hiyo comment.umesoma shule gani ?
Nimevutiwa na hili jinaFriend request n balaaa hakuna
😄😄giant iko vzr mnoo nimeshaiona hiyo mimi movie watu wanaliwa na binadam wenzao au mambo ya mizimu hell no siwezi nitakua naangalia jicho moja au niondoke kabisa eneo hilo angalau kidogo adventure movies najikaza mno kuziangalia hiz n zile majamaa labda wameenda kutaliaa msituni mara watokewe na wanyama waajabu napo pia naogopa ila kiasi naweza jikaza hizo thriller sijui horror angalieni tu mie zimenishinda
ukisikia umelogwa halafu aliyekuroga kafa ndio hii drag me to hell sasa. Hakuna mganga aliyeweza kumponya Ile curse ya yule Bibi hadi dada wa watu alikufa.Afu hii kitu hii...
Ngoja Kwanza[emoji41]
Inatoka mwezi wa 5 mkuu labda kama ulimaanisha Conjuring 2 ya bwana "Eddy" 😊😊