Habari zilizonifikia kutoka kwenye vyanzo vyangu vinavyoaminika vinadai kuna mpasuko mkubwa kwenye korido za ufipa kwa kile kilichotajwa kuwa baadhi ha makada waandamizi kutoridhishwa na mwelekeo wa siasa za chama zilizojaa udini siku za hivi karibuni.
Tetesi zinasema tayari wanachama wengi wameanza kumtupia lawama Mwenyekiti na viongozi wengine waliohutubia kwenye viwanja vya Buriaga, Temeke. Kuna walioenda mbali zaidi na kutaka mwenyekiti ajitokeze mbele ya waandishi wa habari na kutoa tamko.
Ikumbukwe siku chache chama hiki chenye siasa za udini na ukabila (kaskazini) lilikusanya mapadre, wachungaji na maaskofu kwenye viwanja vya Bulyaga kwa nia ovu ya kuichonganisha serikali pendwa ya Mama Samia na wananchi kwa hoja ya Bandari. Wananchi wengi walionyeshwa kusikitishwa na mkutano ule ulioonekana kama wa injili na kuahidi kukiadhibu hicho chama kwenye sanduku la kura.
Sheikh mmoja mwenye busara ameonekana akishangaa na kujiuliza kama chama kisichokuwa na dola kinawabagua Watanzania kwa misingi ya kidini itakuwaje wakikamata dola?
Mimi ninamjibu kwa kumwambia hali itakuwa mbaya zaidi. Ninawasihi wazalendo wote kujiweka mbali na hiki chama na kukiadhibu kila inapotokea nafasi ya kufanya hivyo kupitia sanduku la kura.
Tetesi zinasema tayari wanachama wengi wameanza kumtupia lawama Mwenyekiti na viongozi wengine waliohutubia kwenye viwanja vya Buriaga, Temeke. Kuna walioenda mbali zaidi na kutaka mwenyekiti ajitokeze mbele ya waandishi wa habari na kutoa tamko.
Ikumbukwe siku chache chama hiki chenye siasa za udini na ukabila (kaskazini) lilikusanya mapadre, wachungaji na maaskofu kwenye viwanja vya Bulyaga kwa nia ovu ya kuichonganisha serikali pendwa ya Mama Samia na wananchi kwa hoja ya Bandari. Wananchi wengi walionyeshwa kusikitishwa na mkutano ule ulioonekana kama wa injili na kuahidi kukiadhibu hicho chama kwenye sanduku la kura.
Sheikh mmoja mwenye busara ameonekana akishangaa na kujiuliza kama chama kisichokuwa na dola kinawabagua Watanzania kwa misingi ya kidini itakuwaje wakikamata dola?
Mimi ninamjibu kwa kumwambia hali itakuwa mbaya zaidi. Ninawasihi wazalendo wote kujiweka mbali na hiki chama na kukiadhibu kila inapotokea nafasi ya kufanya hivyo kupitia sanduku la kura.