Tetesi: Kuna mpasuko mitaa ya Ufipa. Ishu ya bandari yatajwa

This is another crap from mind crippled.

Mleta mada, wahi hospitali, japo magonjwa ya akili huwa hayaponi kwa 100%.
Andika kwa kiswahili itakusaidia kuepuka aibu ndogo ndogo.
 
Umejiunga mwezi uliopita hapa jukwaani ili kuja kuandika huu utoto?
Ndugu Tindo sio lazima kila kitu uchangie. Nenda kasome post za mapishi zitakusadia kwenye kumpikia mumeo.
 
Pumbafuuuuuu
 
Pumbavu kabisa,
Kwani wao mbona TAYARI wameshaanza kujenga MISIKITI MBEYA NA ZANZIBAR,Sio Ubaguzi wa kidini huo?

Kama Wabaguzi wajenge na Makanusa Basi ili tuone.MAMA SAMIA NI MBAGUZI KULIKO TUNAVYODHANIA...Ndio maana anawarudisha Waarabu na kuwakabidhi Bandari ZETU kwa muda usio na Ukomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…