Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Sema wao wapinzan sio sisi wapinzan!! Wew ni kamanda usiechoka kutoka Lumumba avenue!!!Tayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili
Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Mzee yaan unahangaika kumjibu MATAGA?🤣🤣🤣🤣 Huyo ni kamanda asiechoka kutoka Lumumba avenue!!!Bila hata chadema nao kubadilika na kuondoa migogoro pia ndani ya chama,hamtakua na nguvu kushinda Kama ile ya 2010 na 2015 mtabaki kulaumu tu na hivi Kila uchaguzi...
Hawawezi na hapo ndipo shimo lao. Wangelikuwa na akili wangejifungamanisha na Magufuli ili 2025 watoboe. Magufuli ni turufu ya ushindi 2025Upinzani fanyeni Jambo moja tu tena dogo mtafanikiwa Sana acheni kumponda Magufuli hapo mtashangaa
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ni kweli CCM wamegawanyika. Dira mpaka sasa haieleweke kama ipo au vipiTayari mpaka sasa kuna wanaCcm wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili
Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Ccm inanihusu? Usithibitishe ujinga wako kwenye jamiiUmesema huwezi kubishana na watu wa aina yangu, lakini bado unarukia ninachopost maana hakiibebi ccm!
Ccm inanihusu? Usithibitishe ujinga wako kwenye jamii
Kusema kweli sio mahaba.Hata usipokiri lakini unaeleweka, na post zako zinadhihirisha hilo. Unajaribu kujivika ucdm, ila una uwezo mdogo, ama una mahaba ya wazi kwa ccm ambayo unashindwa kuyaficha kwenye post zako unazojivika ucdm.
Wanaofikiri kapumzika maombi yao yanamzidishia ukali anaejua kutesa.Magufuli hafai kutajwa katika jamii ya wastaarabu ni miongon mwq watu walio upata urais kimasiahala na wakapagawa nao apumzike tu
Naoma mataga wa Chamwino unamjibu mataga mwenzako wa LumumbaKila siku mnasema kuna mpasuko ccm,mkiingia uchaguzini mnaangukia pua.
Badala ya kujenga vyama imara mnategemea mpasuko wa ccm uwaingize ikulu
Yaliyopita si ndwele
sasa wangap wanawaza kama wewe ivi? wengine wote wanataka kubishana na Umma
Tanzania Hamna upinzani.upinzani wa maanaTayari mpaka sasa kuna WanaCCM wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili
Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Kusema kweli sio mahaba.
Tukutane "spesi" kujadiliana ☺️Tayari mpaka sasa kuna WanaCCM wanaojinasibu kupinga ufisadi na uonevu, na hawa wameshalianzisha na pia kuna kundi ambalo linajinasibu limeshika hatamu na sasa ndio wakati wao wa kujitanua kwa kila namna na tayari kuna harafu kuwa wameanza kupiga madili
Kwa ujumla kuna dalili kubwa kuwa Ccm imegawanyika na upinzani tukitulia 2025 tutapata nguvu kubwa. Je huu mpasuko utatubeba 2025?
Naunga mkono HOJA..Hawa waishiage kwenye uwaziriLilifanyika kosa kubwa sana la kimkakati Kuingiza hili kabila ikulu na lisije kufanyika tena kosa la aina hii maana madhara yake ni makubwa sana kwa taifa
Yawezekana.Kwa hiyo sisi hatujui tofauti ya ukweli na mahaba, ama?
Wewe uliiba kura na dhuluma unatoa ushauri CHADEMA wabadilikeBila hata chadema nao kubadilika na kuondoa migogoro pia ndani ya chama,hamtakua na nguvu kushinda Kama ile ya 2010 na 2015 mtabaki kulaumu tu na hivi Kila uchaguzi mnasusia mtasusia Hadi huo uchaguzi mkuu wa 2025 Mana hakuna dalili za kubalishwa kwa hizo tume mnazotaka Zibadilishwe na hapo pia ccm watachukulia advantage pia ya kuwashinda
#Endeleeni kususia uchaguzi