CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Haya muandalie uzi wa kumpongeza kwa hayo mazuri aliyokutendea wewe na ukoo wako.hiyo kauli umeikata ili uifanyie utakacho,hiyo ni jauli aliyokuwa akielezea nyakati zile jakaya anamuita kumwambia kuwa ccm inamteua kuwa makamu wa rais,wewe unaileta muda huu,mangapi kafanya rais tena makubwa sana