EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
Jamiiforum ya Sasa ina kila aina ya wehu..π€£π€£ dah! Pole mkuu.
Ni yeye π π π π π π πNimeuona uzi nikajua Ni don nalimison
π π π π π π π π πMilembe ina nafuu
Maisha ni safari ndefu sana, tunapitia vikwazo vingi.
Katika harakati zangu za utafutaji nimejikuta moyo wangu umenasa kwa mrembo ambaye mnamwona kwenye hii picha.
Nimeamua kumwimbia huu wimbo ili aweze kujua ni jinsi gani namjali na kumpenda.
Tafadhari popote ulipo mama najua unatembelea mitandao ya kijamii huu wimbo nimeimba special kwaajili yako.
Pengine ndugu rafiki unaweza ukawa unaishi jirani naye hapo mtaani tafadhari kama hatoina mwonyeshe huu wimbo ni kwaajili yake. Twende kazi.
Wakiongozwa na wewe[emoji1787]Jamiiforum ya Sasa ina kila aina ya wehu..[emoji1787][emoji1787] dah! Pole mkuu.
πππππmkuu ni kawaidaAcha kulialia wewe tafuta hela.
Hatari mkuuMilembe ina nafuu
π π π π π π inamaana jamii forum haturuhusiwi kupendana wajameni.
Acha PM Za Watu Utaumbumbuka
Muulize Mama Kubwa...........
Sawa kiongozi wetu vipi yale makaratasi uliyatunza au uliyala maana mwenyekiti nawewe hujazubaa..πWakiongozwa na wewe[emoji1787]
Mwikoπ π π π π π inamaana jamii forum haturuhusiwi kupendana wajameni.
Hata Mimi nilijua Ni nalimison, nadhani huyu Ni pacha wake.Nimeuona uzi nikajua Ni don nalimison
π π π π π π π Ni pacha wake ππππHata Mimi nilijua Ni nalimison, nadhani huyu Ni pacha wake.
π π π π π π π sema tukuagizie MB mkuu usiogopeAaah MB zangu nimezipoteza kindezi sana nilifanya kosa kupuuzia comments