fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ
na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ
na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]