Kuna msanii wa dancehall anayemzidi Patoranking?

Kuna msanii wa dancehall anayemzidi Patoranking?

fundi bishoo

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2018
Posts
14,264
Reaction score
27,132
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ

na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
 
Kwa hapa Africa hiyo inafahamika kuwa jamaa hana mpinzani thabiti......ana vocal Kali, m'bunifu lakini pia Anaenda na wakati
 
Hicho kichwa kiache km kilivyo, mwanzo nilifikir ni man frm Kingston-Jamaica
 
Kwa mara ya kwanza namuona fiesta anapiga zile reggae nikawa shabiki wake mpaka kesho....anajua.
 
King wa Dancehall ni Shabba Ranks tu, wengine wanaiga tu.
 
Wanaofanya Dancehall ni wachache so anaweza kuwa bora kwa hao wachache
 
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ

na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
Umemwacha wapi Burna Boy, jamaa nakubali sana vocal lake.
 
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ

na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]


Jamaa anajua sana hakuna wa kulingana nae Africa hii


Hivi huyo chibwa wetu ashapotelea wapi?
 
Back
Top Bottom