Kuna msanii wa dancehall anayemzidi Patoranking?

Kuna msanii wa dancehall anayemzidi Patoranking?

kwa Africa ..pato hana mpinzani kabisaaaa"" Anatisha mnooo"" ila kuna ngoma Yke 1alifanya na elephant man..aliburuzwa kinyama
 
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ

na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
Umeisahau na Ile aliyoifanya na Ali Kiba
 
ABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ

na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
Pato Rankin alikuwa ni mchumba tu kwa kina Shabba Ranks, Chama Demus and Pliers, Buju Banton, Benie Man, Mad Cobra na wengine kule Jamaica
 
Mimi Timaya ni namba moja kwa afrika.
patoranking namuweka nafasi ya tatu.
 
jamaa yupo ana project yake ila naona kama imebuma hivi
Nakumbuka ngoma yake ya cheza nikuone, you are the 1 and only. Those days nikiwa free soul no majukumu na roll tu kwenye ndinga yangu ya kwanza.
Kweli wakati ukuta
 
Nakumbuka ngoma yake ya cheza nikuone, you are the 1 and only. Those days nikiwa free soul no majukumu na roll tu kwenye ndinga yangu ya kwanza.
Kweli wakati ukuta
ILe ngoma ambayo aliimba na juru daah ni ngoma kaLi sana
 
Back
Top Bottom