Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yuko vizul sana yule kaka me naipenda sura yake tu
Asa mi sey?bennie man c anatoka Jamaica?
Yap..ni kama umfananishe Jux na Chris Brown..nani anaimba Real RnB?duh kwa hyo ata waafrika wanaoimba rnb ni fake, pia?
Yap..ni kama umfananishe Jux na Chris Brown..nani anaimba Real RnB?
Naona we mtu wa ligi!sasa Chris brown asili yake ni wapi ?c muafrika yule lakini
Naona we mtu wa ligi!
Umeisahau na Ile aliyoifanya na Ali KibaABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ
na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
Pato Rankin alikuwa ni mchumba tu kwa kina Shabba Ranks, Chama Demus and Pliers, Buju Banton, Benie Man, Mad Cobra na wengine kule JamaicaABARI ZA ASUBUHI ? wAKUBWA SHIKAMOONI
kama kichwa cha habari kinavyosema kwa muziki wetu barani afrika kuna msanii yeyote anaeweza kumpita huyu mkali kutoka Nigeria anaetamba na miondoko ya dancehall?? japo wapo baadhi ambao kidogo wakifanya juhudi wataweza kumfikia lakini sio kumpita nao ni
1;stone bway -ghana
2:shata wale-ghana
3: Cynthia Morgan- Nigeriaa
4:chibwa-Tanzania
patoranking ametoa ngoma kali ambazo zinaishi toka mwaka 2013 mfano wa ngoma zake
ALUBARIKA FT TIMAYA ndiyo ilomtambulisha kwenye game hasa kwao Nigeria
GIRLI'O FT TIWA SAVAGE
MY WOMAN MY EVERYTHING FT WANDE COAL
HAPPY DAY
HALE HALE
LOVE YOU DIE FT DIAMOND PLATNAMZ
na ngoma yake alotoa mwaka huu inaitwa suh different
swali linakuja huyu jamaa anastahili kuwa King of dancehall in africa? au bado sana
[HASHTAG]#nimimimdogowenu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#YUNGTEMPEr[/HASHTAG]
Namba mbiLi unamuweka nani mkuu....?Mimi Timaya ni namba moja kwa afrika.
patoranking namuweka nafasi ya tatu.
Nakumbuka ngoma yake ya cheza nikuone, you are the 1 and only. Those days nikiwa free soul no majukumu na roll tu kwenye ndinga yangu ya kwanza.jamaa yupo ana project yake ila naona kama imebuma hivi
ILe ngoma ambayo aliimba na juru daah ni ngoma kaLi sanaNakumbuka ngoma yake ya cheza nikuone, you are the 1 and only. Those days nikiwa free soul no majukumu na roll tu kwenye ndinga yangu ya kwanza.
Kweli wakati ukuta
Yes mkuu... Yani hiyo ngoma inanikumbusha enz hizo ilikuwa ina bang kinomaILe ngoma ambayo aliimba na juru daah ni ngoma kaLi sana
Dah kweLi miaka inaenda mkuuYes mkuu... Yani hiyo ngoma inanikumbusha enz hizo ilikuwa ina bang kinoma