Kuna msichana kanikubalia ila ameniambia ana mtu

Kuna msichana kanikubalia ila ameniambia ana mtu

VINICIOUS JR

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2022
Posts
208
Reaction score
518
Kwema wakuu,

Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
 
Kwema wakuu, jana katika pitapita zangu nimekutana na mdada flan mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufka maskan nikamchk tumechat jana na leo nikajarbu kutupia ndoano imo sasa katika maongez kanichana anamtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kwel pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
We kula nawa mikono sepa, hakuna dem wa peke yako
 
Hivi dunia ya leo kuna alie single?
Kula nyama nyamaza.
Mimi nilishasema,mwanamke yoyote ambaye hajaolewa wala kutolewa mahali huyo yupo single bay default,haya wake za watu wanaliwa vzr tu.

Aongee na tigopesa tu maneno yasiwe mengi sana
 
We dogo vipi wewe???

Uweke kambi wakati unaona kabisa mwenzako ameshapigwa knock out na demu ameshatundika daluga?ndiyo kusema wewe mpaka hapo alarm kichwani haijalia kujua kwamba huyo ni malaya kama walivyo malaya wengine au!
Wanaume hua tunafeli hapo sana, yn unaona kabisa kuna jamaa ameachwa kwa ajili yako afu unategemea na ww uwe wa kudumu kwake.
 
Kwema wakuu,

Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
Hahahahaha kijana anaenda kuwa ATM muda sio mrefu
 
Acha kumtisha,tuliweka kambi na sasa ndio wake zetu,mwache apambanie bahati yake kama kamwelewa.
Mkuu kambi unaweka kwa mtu ambae hujui background zake kwamba liwalo na liwe sasa huyu kakueleza kabisa ana jamaa yake ila wewe umekubaliwa tu means anachotaka ni pochi yako na ukuni wako hana lolote
 
Kwema wakuu,

Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
Wee ,zingatia tuu zamu yako ya kula mbususu. Kama atakupea wee enjoy. Mambo ya mbususu yako leke yako yalishapitwa na wakati. Sasa ni mwendo wakushare tuu
 
kaka nipo single nataman niweke kambi, ko unanishaur vitu gan nizingatie?
Huyo muongo wanawake wanatabia ya kusema kinyume chake akisema ameolewa inakua hajaolewa na akisema hajaolewa ana kuwa kaolewa, kwahiyo akili kichwani mwako
 
Back
Top Bottom