Kuna msichana kanikubalia ila ameniambia ana mtu

Kuna msichana kanikubalia ila ameniambia ana mtu

Kwema wakuu,

Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
utasubiri sana kumpata wa single,siyo mtu huwa wanawatu kwahiyo ni spidi yako tu uta-score
 
Mkuu kambi unaweka kwa mtu ambae hujui background zake kwamba liwalo na liwe sasa huyu kakueleza kabisa ana jamaa yake ila wewe umekubaliwa tu means anachotaka ni pochi yako na ukuni wako hana lolote
Sasa Mkuu mwenzangu ulitaka mwanamke atake nini kingine kwa mwamba
 
Wenye hela hawajibiwagi hivyo, kijana endelea kujitafuta.....
 
Malaya huyo, anakuandaa kisaikolojia kuwa akishaona kwako hakuna maslahi, anakukwepa ukianza mtafuta na umeshakolea atakwambia si alikwambia kuwa ana mtu wake au? [emoji848]
 
Kwema wakuu,

Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
Kwan we nyani ??sio mtu
 
Back
Top Bottom