900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
utasubiri sana kumpata wa single,siyo mtu huwa wanawatu kwahiyo ni spidi yako tu uta-scoreKwema wakuu,
Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
Sasa Mkuu mwenzangu ulitaka mwanamke atake nini kingine kwa mwambaMkuu kambi unaweka kwa mtu ambae hujui background zake kwamba liwalo na liwe sasa huyu kakueleza kabisa ana jamaa yake ila wewe umekubaliwa tu means anachotaka ni pochi yako na ukuni wako hana lolote
Kwan we nyani ??sio mtuKwema wakuu,
Katika pitapita zangu nimekutana na mdada fulani mrembo basi bhana nikaomba nikapewa sasa baada yakufika maskani nikamcheki tumechat jana na leo nikajaribu kutupia ndoano imo sasa katika maongezi kanichana ana mtu wake ila kanikubalia. Hii imekaaje wakuu sema kweli pisi nimeielewa ila kunichana anamtu naona inanikata heri angenidanganya tu yupo single.
Amenshindwa kujiongeza huyo mbona akiact anamla vizuri tu!