Tetesi: Kuna mstaafu mashuhuri atalamba teuzi na kuapishwa

Tetesi: Kuna mstaafu mashuhuri atalamba teuzi na kuapishwa

Nightmare mkeka,
Watu siku hizi hawalali ikifika Saa 6-8 usiku , wanajua Muda wwt ubao utasoma.
 
Mtaje kwa majina kama kweli unafanya Hiphop.
 
Hv sasa ni saa 1:24 pm napenda kumpongeza Dk. Samia kwa kutukatia umeme bila taarifa watanganyika wa wilaya ya KINO.Endelea tu.


KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom