Yuda Legacy
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 778
- 2,764
Hujajibu WHAT IS A SPIRIT.
Jibu lako halitoshi. Roho ni nini na inaishi wapi.
Jibu: Ni Roho ambayo huwezi iona kwa macho ipo ndani ya Mwili ipo kama moshi kwa hiyo ndani Ya Mwili Haina sehemu maalum ikaapo Maana Ipo kama Moshi lakini usio weza kuuona NA ALIYE IUMBA NI YESU
Mbona husemi spiritual ni nini? Siku hizi utapeli uarltumia neno hilo kupiga pesa za wajingaLakini unajua hata universal imetokana na spiritual
Hivi unajua iliko ndege ya Air Malaysia Mpaka Leo?
Mambo ya kiroho!!!Mhubiri:Naona katika ulimwengu wa kiroho malaika wakishuka kwenye mkutano huu......bla blaa blaaaaa. Ujinga na utapi mtupu.
Oi just shut up already. Kimya!NI NGUMU KUTENGENEZA ILA KWA YESU TUKIOMBA ATATUPA UJUZI HUO
Hivi unajua gharama ya Facebook iliyotumika kutengeneza MetaVerse? Hivi unajua hata MetaVerse ni nini? Ni product ya Facebook au Meta these days. Ni billions of US dollars. Budget ya taifa zima kwa miaka kadhaa.Nadhani ni kama mwaka mmoja sasa umepita kulikuwa na kijana alikuwa hewani kupitia redio mojawapo akasema yuko mbioni kutengeneza metaverse yake (virtual universe). Sijasikia lolote.
Mkuu unaposema "sisi" unatakiwa uwe specific kati ya wewe na nani. Mimi ni developer na natengeneza high quality advanced video games kila siku 3D na 2D. Nothing special wala cha ajabu hapo. Simple knowledge, application na execution.Game la nyoka hatuwezi kutengeneza we unaongelea metervese
Thanks. Kama unaweza kunipa contacts zako karibu pm. Naona watu wengi wapo gizani. Mmoja ananijibu habari za Facebook wakati mimi nimeuliza kuhusu 3D virtual worlds!!Mkuu unaposema "sisi" unatakiwa uwe specific kati ya wewe na nani. Mimi ni developer na natengeneza high quality advanced video games kila siku 3D na 2D. Nothing special wala cha ajabu hapo. Simple knowledge, application na execution.
Contacts za nini mzee?Thanks. Kama unaweza kunipa contacts zako karibu pm. Naona watu wengi wapo gizani. Mmoja ananijibu habari za Facebook wakati mimi nimeuliza kuhusu 3D virtual worlds!!
Contacts za nini mzee?