Umeambiwa Bachelor degree. Rej UziMwanangu alisoma Master’s John Hopkins.
Sasa ungejuaje kama mwanangu alisoma hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] asante kwa kutufahamisha.Sasa ungejuaje kama mwanangu alisoma hapo.
Wote hao siyo undergraduate bachelor courses. Mkuu kuingia hivyo vyuo undergraduate mziki wake siyo wa kitoto ni kama unaenda battlefield. Kina Chenge Kipilimba ni postgraduate na PhDChange Andrew- Harvard
Ali Karume- Nadhani Cambridge
Na wengine kibao wapo mamtoni huko wamebaki kama diaspora
Huyu mwamba alifariki mapema mno.RIPHuyu Tanzania one Elias Kihombo ilibidi asome undergraduate hivi vyuo. R.I.P.View attachment 2049292
Cc Baba Swalehe
High school walisoma Bongo? Hongera sana wanastahli tuzo. One in a billion.A job well done by Calvin Marambo (left) and Jovin Mwilanga (right) for successfully graduating from Harvard University class of 2019. View attachment 2049307
Taja majina.Wako wengi sana, narudia wengi mno.
Mtoto wa dadangu ni alumni wa Havard undergraduate.
Mnyama kihombo r.i.p dah huyu mwamba wa physicsHuyu Tanzania one Elias Kihombo ilibidi asome undergraduate hivi vyuo. R.I.P.View attachment 2049292
Cc Baba Swalehe
Hahaha umeamua kuwapa tu taarifa..Sasa ungejuaje kama mwanangu alisoma hapo.
Yani huyu mwamba alikuwa Mohsen Fakhrizadeh wetu Iranian nuclear scientist aliyeuawa na mossad.Mnyama kihombo r.i.p dah huyu mwamba wa physics