RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 55,727
- 123,094
Nini kilisababisha kifo Chake? Ni TO wa mwaka gani?Huyu mwamba alifariki mapema mno.RIP
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kilisababisha kifo Chake? Ni TO wa mwaka gani?Huyu mwamba alifariki mapema mno.RIP
Aliishia kufungua tuition centre ya pindi la physics na kuandika vitini vya notes.Yani huyu mwamba alikuwa Mohsen Fakhrizadeh wetu Iranian nuclear scientist aliyeuawa na mossad.
Bwana Utam STRUGGLE MAN
Wako wapi now au wamebaki huko as diaspora,tungeshare nao experiences vs HARVARD UNIVERSITYA job well done by Calvin Marambo (left) and Jovin Mwilanga (right) for successfully graduating from Harvard University class of 2019. View attachment 2049307
Wako wapi now au wamebaki huko as diaspora,tungeshare nao experiences vs HARVARD UNIVERSITY
Yuko wapi now?Hamidu Rajabu "HamRaj" aka "Seldon" aka "Emmy" alienda kusoma MIT undergraduate akitoka Bongo 1998 hiyo.
Alibaki zake huko huko.Yuko wapi now?
Kama nakumbuka vizuri alikuwa anakaa Mwembechai na primary alisoma Makurumla.Alibaki zake huko huko.
Walisoma shule zipi sekondari ?A job well done by Calvin Marambo (left) and Jovin Mwilanga (right) for successfully graduating from Harvard University class of 2019. View attachment 2049307
Sky ww huwa ni kizee sana!!Mwanangu alisoma Master’s John Hopkins.
Ni wa kike?Sasa ungejuaje kama mwanangu alisoma hapo.
Ndio ni kweli.Kama nakumbuka vizuri alikuwa anakaa Mwembechai na primary alisoma Makurumla.
Mwanangu alisoma Master’s John
Bila shaka anajua Kienglish...
Mbona mwenzio anaulizia Bachelors degree! Au ulitaka tufahamu kwamba una mtoto kasoma US?Mwanangu alisoma Master’s John Hopkins.
Nini kilisababisha kifo Chake? Ni TO wa mwaka gani?
Hakika umenena...Hivyo vyuo undergraduate wa tz wanaenda sana.
Ila ni wale waliofaulu sana kutoka shule ya IST
Sio kwa necta. Ukitaka kwenda havard ama hivyo vyuo kasome IST ama ISM na uwakimbize darasani na mtihani wa mwisho SAT piga maksi za kutosha.
Necta div 1 ya point 3 haiwezi kukupeleka hivyo vyuo hata upate 100 masomo yote