Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakua ni wino wa mpiga kura.We nakwende97 Vp mbona kidole kidogo cheusi.
Any way dawa inatibu hilo tatizo.
Ciprofloxacin. Itakua huyo daktari hajampa hio kwa hofu kua itamzidia/ mperekesha kwa sababu ya umri wake au ugonjwa sio complicated sanFirst choice ni dawa gan maana watu hawajaridhika na Azuma
Ni sawaHapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Hapana Yuko sawaChezea Madokta na Clinical Officer wa kibongo ww
Nope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..Ciprofloxacin. Itakua huyo daktari hajampa hio kwa hofu kua itamzidia/ mperekesha kwa sababu ya umri wake au ugonjwa sio complicated san
Hapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Mkuu Kuna swali nataka kuku uliza nilipata ugonjwa peripheral neuropathy wakanipatia nat B pale muhimbili na dawa za kupaka ila mpaka sasa Hali bado 😢😭 naskia ganzi kalii mguuni nipate dawa Gani mbadala wa hiyo nat bNope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Duh Pole kwani Ilianzaje au ilitokeaje?Mkuu Kuna swali nataka kuku uliza nilipata ugonjwa peripheral neuropathy wakanipatia nat B pale muhimbili na dawa za kupaka ila mpaka sasa Hali bado 😢😭 naskia ganzi kalii mguuni nipate dawa Gani mbadala wa hiyo nat b
Unatudanganya mbona nichakwako nakwede😂😂Hahaha kidole Cha mwenye dawa mim nimetumiwa picha