Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Nope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Upo sahihi zote n 1st line ila most prefered ni cipro
Uzito wamtoto una husika kabla ya kumchsgulia suitable drug atakayo tumia kulingana na parameter zake akisem ni sulphur intorelant napo dawa itabadilishwa.. Uyo bado n miaka 4 bdo anaweza kushambuliwa n malnutrition na akienda hospitalin anaombwa aonyeshe kadi ya clinic bdo ni pediatric
 
Upo sahihi zote n 1st line ila most prefered ni cipro
Uzito wamtoto una husika kabla ya kumchsgulia suitable drug atakayo tumia kulingana na parameter zake akisem ni sulphur intorelant napo dawa itabadilishwa.. Uyo bado n miaka 4 bdo anaweza kushambuliwa n malnutrition na akienda hospitalin anaombwa aonyeshe kadi ya clinic bdo ni pediatric
Yeah ndo maana Nikasema the Most safe is Cipro..
I am A Paediatrician so Naelewa
 
Mkuu Kuna swali nataka kuku uliza nilipata ugonjwa peripheral neuropathy wakanipatia nat B pale muhimbili na dawa za kupaka ila mpaka sasa Hali bado 😢😭 naskia ganzi kalii mguuni nipate dawa Gani mbadala wa hiyo nat b
Dawa hua zipo na utameza sana tu. ila changamoto ni kwenye kubaini chanzo cha tatizo ilo kwanini miguu inakufa ganzi au kuchomachoma mithili ya sindano na kuwaka moto..

Hizo Nat B zinapunguza ukali wa hizo dalili ila sio kutibu chanzo.


chanzo cha tatizo kinaweza kua ni umri wako

Kazi unayo jishugulisha nayo ( usikute wewe n dereva wa malori muda mwingi upo barabarani )

Chakula unachokula na digestion yake kiujumla.

Kupatwa na jeraha linaloweza kusababisha hali hio

Kuugua Magonjwa ya muda mrefu

Unywaji wa pombe kupita kiasi.

Matibabu hua ni kubaini chanzo na kutibu tatizo. Kubadilisha mfumo wa maisha na ulaji wa chakula. Pia wasiliana na wataalamu wa tiba asili pamoja na tiba ya chakula (nutirition) huenda nao wakawa na tiba nzuri kuliko madawa ya kiwandani.piga mazoezi ya mwili kusisimua misuli

#Angle yangu ilikua ni kubaini chanzo cha tatizo hilo na kulitaftia ufumbuzi
 
Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shida
Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..

Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
 
Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..

Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Habari za siku kiongozi.

Naomba kuuliza eti dawa Ipi inatibu fangas za kwenye mapaja, pumbu na katikati ya makalio?
 
Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..

Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Shukrani sana ndugu yangu ngoja niendelee na dozi na mazoezi
 
Duh Pole kwani Ilianzaje au ilitokeaje?
Ni superficial au Imeanza kuathiri mpaka Motor Ability au ni sensory peke yake?
Dr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa gani
Kuna pharmacist alinambia nitumie gentrisome au metrinadazole USP gel ila Bado sijaanza kutumia naogopa
Naomba ushauri halafu chumusi zipo upande Mmoja tu usoni shavuni
 
Back
Top Bottom