abdulrahman Said
JF-Expert Member
- Sep 11, 2019
- 719
- 952
Mbna umejihami mapema sana kuhusu figo mkuu, 😂😂Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shida
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbna umejihami mapema sana kuhusu figo mkuu, 😂😂Safari 2 na nilikuwa napenda kuchanganya na pombe Kali ila nilifanya vipimo vya mwili mzima Figo na ini zilikuwa hazina shida
Azithromicin (Azuma) ni 2nd line drug aisee haina cha mtoto, mtu mzima wala wanyama, 2nd line drugs ni referral kwa 1st line drugs na 3rd line drugs kama cephalosporins mf ceftriaxone ni referral kwa 2nd line drugs.Nope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Mkuu, na mimi naomba unifafanulie hapo kwenye dose 15mg/Kg.Mkuu Unafahamu Cipro Inatolewaje kwanza Dose yake??
Naweza kubishana na Mtu asiyejua hata dose ya Dawa...
Lakini ngoja Nikusaidie Cipro dose yake ni 15mg/kg so Wewe Mwenyewe Unaweza Ukapiga hapo na Ukapata utampaje..
Sorry kwa Hili swali wewe Ni medical Personell??
Kama Ndiyo na Hujui Dose Ya Cipro Inafikirisha Sana
Ndio nilivyorud ambiwa muhimbili na Daktari baada ya kufanya cheki Apu ya mwili mzimaMbna umejihami mapema sana kuhusu figo mkuu, 😂😂
azuma kwa wanyama?Azithromicin (Azuma) ni 2nd line drug aisee haina cha mtoto, mtu mzima wala wanyama, 2nd line drugs ni referral kwa 1st line drugs na 3rd line drugs kama cephalosporins mf ceftriaxone ni referral kwa 2nd line drugs.
Unashangaa au unauliza? na kama unauliza ni unauliza ujue au unajua?azuma kwa wanyama?
Kama Umesoma Pharmacology utakuwa unanielewaa zaidi KIla dawa ina risk zake nyingi hata Gentamycin ina Ototoxic na inaharibu maskio ila Ndo Dawa ya Kwanza Kwa watoto kwa Magonjwa Karibu yote tena GP wanapenda Sana Kuzitoa Utasikia mpe Ampigenta..Hapana mkuu ...
Cipro kwa watoto hasa chini ya miaka 10, inarisk ya kuharibu mifupa yao
Kupanga Regimes za Dawa huwa inatokana na Upatikanaji wa Dawa wa Nchi mahalia..Azithromicin (Azuma) ni 2nd line drug aisee haina cha mtoto, mtu mzima wala wanyama, 2nd line drugs ni referral kwa 1st line drugs na 3rd line drugs kama cephalosporins mf ceftriaxone ni referral kwa 2nd line drugs.
SIjaelewa Swali..EngeneerMkuu, na mimi naomba unifafanulie hapo kwenye dose 15mg/Kg.
2. Taarifa gani daktari lazima azijuwe kutoka kwangu (ukiachana na ugonjwa, let say tayri nishakuwa comfirmed nna malaria) ili aweze kunipangia dozi??, mf uzito labda na inarelate vipi na namba moja hapo etc
Huwa naquestion sana kila nikienda hospitali, mara nyingi naona tu anachukuwa pakiti kadhaa anaweka tu kwa bahasha then anaandika.
Hapo ulipoelezea dozi ya hiyo dawa ni 15mg/Kg, ni uwiano wa kiwango cha dawa nachotakiwa kutumia na uzito wangu ama ni nini?SIjaelewa Swali..Engeneer
Kama Unaweza kulidadavua Vizuri nitashukuru Sana Asante
Kwa tafiti zipi cipro iwe safe kuliko Azithromycin? Hapo daktari yupo sahihi labda ungezumzia EfficacyYeah ndo maana Nikasema the Most safe is Cipro..
I am A Paediatrician so Naelewa
Ciprofloxacin maarufu ZINDOLINFirst choice ni dawa gan maana watu hawajaridhika na Azuma
Anhaa Hapo Nimekuelewa Sana...Hapo ulipoelezea dozi ya hiyo dawa ni 15mg/Kg, ni uwiano wa kiwango cha dawa nachotakiwa kutumia na uzito wangu ama ni nini?
2. Tuseme nishafanya check-up kwa daktari nimegundulika tayari naumwa ugonjwa flani na natakiwa nipate dawa flani, kwenye dozi ni taarifa gani atakayohitaji kutoka kwangu ndo mpharmacia aweze kuniandikia dozi natumiaje? Ama hakuna haja?
Ikifika section ya kuchukua dawa sielewi kigezo gani kinatumika kupanga nitumie tembe ngapi? Mara ngapi? Na mwisho lini (japo sijawahi kuambiwa mwisho), mwanzo niliwazaga uzito ila nimeenda hospitali almost mara ya 3 hii sijapimwa uzito ila nimeandikiwa dozi.
Mwaka huu huu pia nilipewa almost pakiti tatu zenye tembe 8 kila moja (hiyo dozi ya kwanza) na kuna nyingine hapo, sikumuona hata akifikiria yule mpharmacia niliona tu kafungua kiboksi katoa mapakiti matatu kaandika na matumizi yake!
Ungeangalia Kuanzia Nilivyoandika kuanzia Mwanzo nafikiri ungeona Niliandika nini Nimesema daktari yuko Sahihi ila Nikasema baadae Kulingana na Miongozo Cipro is the best Choice Kuliko Azythromycin....Kwa tafiti zipi cipro iwe safe kuliko Azithromycin? Hapo daktari yupo sahihi labda ungezumzia Efficacy
Ni sawaHapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
NdioNikuelekeze kwa mtaalamu wa ngozi.
Haya nitakutafutaNdio