Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Alikuwa nao mwenza akaniambukiza so nahisi ni fangas.
Ni alama kama michubuko flani afu nyeusi
Unajua Kwanini Nimekuambia Hivyo..
Ni muhimu kufanya Uchuguzi kwa sababu naweza Kusema Ni fungus Na kwa maelezo yako Mostly ni tinea Cruris ila pia inaweza kuwa ni Pruitus au Psoriasis au Simple Lichen..N.k
Kuna magonjwa mengi sana ya Ngozi..

Na katika Ugonjwa ambao hutakiwi kubahatisha ni ugonjwa wa Ngozi any mistakes Can make Bacteria Mutation au Hata Drugs Resistance..
So nenda Hospitali au Muone daktari wa Ngozi kwa uchunguzi zaidi
 
Hapana Sio lazima Uharibu Figo au Ini ndo upate Neuropath unaweza Ukapata Direct toxin effects ya alcohol kwenye Myelin shelth ambayo inawezq kusqbabisha Peripheral Neuropathy ..

Ila nat B NI Nzuri japo Nerves Huwa zinachukua Muda sana Kuheal Sio kama Tissue Nyingine inachukua Muda sana we Endelea Kunywa dawa na Usiache kufanyia Massage eneo lenye Shida na Kulifanyia Mazoezi mara kwa mara
Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.

Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.

Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.

Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.

Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
 
Dr mm chunusi zinanikosesha mema nitumie dawa gani
Kuna pharmacist alinambia nitumie gentrisome au metrinadazole USP gel ila Bado sijaanza kutumia naogopa
Naomba ushauri halafu chumusi zipo upande Mmoja tu usoni shavuni
Google neno 'Acne' afu angalia picha thibitisha kama inafana na hicho unachosema ni chunusi. Usikute n kitu kingine. Au mtumie picha daktari
 
Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.

Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.

Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.

Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.

Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Kama ni ishu ya kupata dawa na kumeza .
Dawa hua zipo na utameza sana tu. ila changamoto ni kwenye kubaini chanzo cha tatizo ilo kwanini miguu inakufa ganzi au kuchomachoma mithili ya sindano na kuwaka moto..

Hizo Nat B zinapunguza ukali wa hizo dalili ila sio kutibu chanzo.

chanzo cha tatizo kinaweza kua ni umri wako

Kazi unayo jishugulisha nayo ( usikute wewe n dereva wa malori muda mwingi upo barabarani )

Chakula unachokula na digestion yake kiujumla.

Kupatwa na jeraha linaloweza kusababisha hali hio

Kuugua Magonjwa ya muda mrefu

Unywaji wa pombe kupita kiasi.

# Uzito kupita kiasi?
# Huna gonjwa la misuli Gouti ( vidoleni kinakuwa kama na uvimbe wa rangi nyekundu

Matibabu hua ni kubaini chanzo na kutibu tatizo. Kubadilisha mfumo wa maisha na ulaji wa chakula. Pia wasiliana na wataalamu wa tiba asili pamoja na tiba ya chakula (nutirition) huenda nao wakawa na tiba nzuri kuliko madawa ya kiwandani.piga mazoezi ya mwili kusisimua misuli

#Angle yangu ilikua ni kubaini chanzo cha tatizo hilo na kulitaftia ufumbuzi
 
Baba ake mwenye hana hela!! Kaja na afu 3 tu hapa mpaka panado tumempa bure
Siyo mbaya, but Kwa elimu yangu hii, mtoto chini ya miaka 5, kumpa dawa za vidonge siyo vizuri kabisa..

Labda AMO - DT , dawa za degedege DIAZEPAM( through rectum), cetrizine tabs, chlorphenamine tabs, hizi unaweza kumpa mtoto chini ya miaka 4..
 
Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.

Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.

Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.

Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.

Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Tumia na dawa hii mkuu itakusaidia Mimi now maumivu yanapungua

Screenshot_20241128-122308_1.jpg
 
Nope Kulingana Na STG Ya watoto na Adolecence Azuma,Cipro na Cefixime ni first line Ila Kati ya Hizo dawa zote..
Cipro ni more Safe kwa Watoto..Sasa ukiniukiza Why tutaanza kuchinba Pharmacology hapo
Cipro ni more safe kwa watoto mkuu ?
 
Back
Top Bottom