Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa. Ni sawa?

Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.

Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.

Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.

Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.

Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Hebu Jitahidi Uonane na Daktari wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Mishipa/ NeuroSurgery/Neuroscientist..
Akufanyie Evaluation na Athari ya Shida Hiyo..

Maana Kuna Sometimes Inaweza ikawa Ni Ukoma so Ni muhimu kwenda wa Specialists Wakukague Vizuri..

Na Napendekeza Kama ukiweza Uende MOI..
na uombe kwenda Clinic ya Daktari yoyote wa Neuro..
Atakusaidia kufanya evaulation na Njia nzuri ya Matibabu na Usipuuzie Miaka 5 sio Michache
 
Hebu Jitahidi Uonane na Daktari wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Mishipa/ NeuroSurgery/Neuroscientist..
Akufanyie Evaluation na Athari ya Shida Hiyo..

Maana Kuna Sometimes Inaweza ikawa Ni Ukoma so Ni muhimu kwenda wa Specialists Wakukague Vizuri..

Na Napendekeza Kama ukiweza Uende MOI..
na uombe kwenda Clinic ya Daktari yoyote wa Neuro..
Atakusaidia kufanya evaulation na Njia nzuri ya Matibabu na Usipuuzie Miaka 5 sio Michache
Asante mkuu.

Kwa sasa MOI siwezi kufika, ila hapa nilipo naweza kumuona neurosurgeon na neurologist.
Nitafanya hivyo hata next week.
 
Mwaka mmoja, tunatoaje dose ya Cipro??
Mkuu Unafahamu Cipro Inatolewaje kwanza Dose yake??
Naweza kubishana na Mtu asiyejua hata dose ya Dawa...

Lakini ngoja Nikusaidie Cipro dose yake ni 15mg/kg so Wewe Mwenyewe Unaweza Ukapiga hapo na Ukapata utampaje..
Sorry kwa Hili swali wewe Ni medical Personell??

Kama Ndiyo na Hujui Dose Ya Cipro Inafikirisha Sana
 
Mkuu Unafahamu Cipro Inatolewaje kwanza Dose yake??
Naweza kubishana na Mtu asiyejua hata dose ya Dawa...

Lakini ngoja Nikusaidie Cipro dose yake ni 15mg/kg so Wewe Mwenyewe Unaweza Ukapiga hapo na Ukapata utampaje..
Sorry kwa Hili swali wewe Ni medical Personell??

Kama Ndiyo na Hujui Dose Ya Cipro Inafikirisha Sana
Mimi ni mwalimu wa history darasa la tatu, mkuu.
 
Back
Top Bottom