Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu Jitahidi Uonane na Daktari wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Mishipa/ NeuroSurgery/Neuroscientist..Na mimi ngoja niunge swali langu hapa.
Mimi nina hiyo peripheral neuropathy nadhani ni mwaka wa tano sasa.
Sema ya kwangu sio kali sana.
Iko kwenye lower limbs na upper limbs kwa mbali.
nakuwa nahisi kama muscles zinawaka moto.
Kuna kipindi inakuwa inakuwa kali mpka inakera.
Ila kuna kipindi( kama sasa hivi) inakuwa kwa mbali.
Nivyomuona daktari kwa mara ya kwanza alinipa Nat B, ila hakuniambia kama niendelee kuzitumia.
Kwhy nilitumia mara mbili nikaacha.
Umri ni late 20.
Sina ugonjwa wa kudumu.
Sivuti sigara, na situmii kilevi cha aina yoyote.
Asante mkuu.Hebu Jitahidi Uonane na Daktari wa Magonjwa ya Mfumo wa Fahamu na Mishipa/ NeuroSurgery/Neuroscientist..
Akufanyie Evaluation na Athari ya Shida Hiyo..
Maana Kuna Sometimes Inaweza ikawa Ni Ukoma so Ni muhimu kwenda wa Specialists Wakukague Vizuri..
Na Napendekeza Kama ukiweza Uende MOI..
na uombe kwenda Clinic ya Daktari yoyote wa Neuro..
Atakusaidia kufanya evaulation na Njia nzuri ya Matibabu na Usipuuzie Miaka 5 sio Michache
Yeah Cipro ni safe kabisaCipro ni more safe kwa watoto mkuu ?
Hapana Cipro ni safe kwa Mtoto Kuanzia Mwaka mmoja na KuendeleaCipro ni Safe kuazia miaka 9 na kuendelea
HapanaMiaka 12 na kuendelea ...
Safi sanaAsante mkuu.
Kwa sasa MOI siwezi kufika, ila hapa nilipo naweza kumuona neurosurgeon na neurologist.
Nitafanya hivyo hata next week.
Mwaka mmoja, tunatoaje dose ya Cipro??Hapana Cipro ni safe kwa Mtoto Kuanzia Mwaka mmoja na Kuendelea
Mkuu Unafahamu Cipro Inatolewaje kwanza Dose yake??Mwaka mmoja, tunatoaje dose ya Cipro??
Mkuu angalia sana huu ugonjwa mara nyingi huwa wanabambikia watu. Hakikisha unapima hospital zinazoeleweka.Hapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Typhoid Kupima na majibu siku hiyo hiyo Ni uongo !!Mkuu angalia sana huu ugonjwa mara nyingi huwa wanabambikia watu. Hakikisha unapima hospital zinazoeleweka.
Mimi ni mwalimu wa history darasa la tatu, mkuu.Mkuu Unafahamu Cipro Inatolewaje kwanza Dose yake??
Naweza kubishana na Mtu asiyejua hata dose ya Dawa...
Lakini ngoja Nikusaidie Cipro dose yake ni 15mg/kg so Wewe Mwenyewe Unaweza Ukapiga hapo na Ukapata utampaje..
Sorry kwa Hili swali wewe Ni medical Personell??
Kama Ndiyo na Hujui Dose Ya Cipro Inafikirisha Sana
Hatuchekani Mkuu Mimi mwenyewe Mwandiko wa Kuandika na mwandiko.Darasa la awaliMimi ni mwalimu wa history darasa la tatu, mkuu.
Yeah Cipro ni safe kabisa
Hapana mkuu ...Yeah Cipro ni safe kabisa
Asante sana dr. Hata mimi najua hivyo japo sina background ya utabibu.Typhoid Kupima na majibu siku hiyo hiyo Ni uongo !!
Typhoid Ni complex sana kwenye Upimaji inatakiwa iwe kwenye Titre na hapa.Ndo wanadanganya sana
Wangempa suspension ya azuma ni sawaHapa nyumban Kuna mtoto wa miaka minne kakutwa na typhod wakampa hii dawa je nisawa? View attachment 3163840
Kidole cheusi atakuwa katoka kupiga kura!We nakwende97 Vp mbona kidole kidogo cheusi.
Any way dawa inatibu hilo tatizo.
1st choice ni ipi?Inatibu japo ni second choice