Kuna mtu alipendwa kama Juma Nature hapa Tanzania?

Kuna mtu alipendwa kama Juma Nature hapa Tanzania?

Ya leo kali kunguru kamwaga ugali masela tuna njaa kali ni shdraaaaaaaaa nature
 
Wengi wao walianza kushabikia Muziki baada ya Diamond hivyo hawatakuelewa.
 
Necha hata leo hii ukimsimamisha jukwaani shangwe lake hakuna msaani wa kushindana naye bongo hii
 
Nature alipendwa na wavuta bange

Mkuu Kyalow nature alikua anaitwa hadi kutumbuiza kwenye mikutano ya kamati kuu ya ccm kule dodoma na waheshimiwa wote wanasimama na kucheza,we unasema wavuta Bange..
 
Last edited by a moderator:
hili geeeem...t.i.d alinyonga bonge la chorus humo..
 
Nimegundua uset names zinajirudia zinaxopinga na jumuonea wivu Diamond.

Utakuta wengivwenu hata kabati la kuwekea nguo hamjui linapatikanaje sembuse dawa ya mswaki.

Full ma wivu utadhani yeye sio msanii aliepeperusha nchi yetu kizaidiiiiiii

Tena mujuenamjazia baraka tele kijana huyo mpende msipende

Alianzia kuuza barabarani etc, mmmhhhh hamkumsrma pesa imeingia wivu.com
aisee wewe unatumia lugha tata hueleweki
 
hivi kuna mtu aliwika na kupendwa kama juma nature sasa yuko wapi so huyo yaliyompata ajue ndio mwanzo wa mwisho kawaida tu,mzee reksa alisema kila zama na kitabu chake
.aliwika na kupendwa?anawika na kupendwa,yupo mkuu.reksa=ruksa?
 
Wengi wao walianza kushabikia Muziki baada ya Diamond hivyo hawatakuelewa.
walikuwa bado wadogo au walikuwa bado hawajaja mjini enzi za pool side kilimanjaro hotel 2002 ilipigwa shooo ya nature mvua ikanyesaha usiku watu tupo tu
 
Nimegundua uset names zinajirudia zinaxopinga na jumuonea wivu Diamond.

Utakuta wengivwenu hata kabati la kuwekea nguo hamjui linapatikanaje sembuse dawa ya mswaki.

Full ma wivu utadhani yeye sio msanii aliepeperusha nchi yetu kizaidiiiiiii

Tena mujuenamjazia baraka tele kijana huyo mpende msipende

Alianzia kuuza barabarani etc, mmmhhhh hamkumsrma pesa imeingia wivu.com

mtu aliyetoka kufir¤**a utamjua tu muda wote anakaa anawashwa
 
hivi kuna mtu aliwika na kupendwa kama juma nature sasa yuko wapi so huyo yaliyompata ajue ndio mwanzo wa mwisho kawaida tu,mzee reksa alisema kila zama na kitabu chake
ww kigezo chako kwamba msanii huyu anawika na kupendwa ni vp? ?? kama hujui nakujulisha. 1-uza zaidi ya wenzio (albamu au nyimbo. )
2-huuze bidhaa (mf.matangazo,t-shirts)
3-matamasha (kiasi gani umeingiza ndani na nje ya nchi) sasa kiulinganisho wa vigezo hivi je nature wako anafikia kwa Almasi???? (kumbuka kama unampenda msanii utanunua kazi yake sio kusukuma gari yake au kushangilia haya ni nyongeza tu)
 
ww kigezo chako kwamba msanii huyu anawika na kupendwa ni vp? ?? kama hujui nakujulisha. 1-uza zaidi ya wenzio (albamu au nyimbo. )
2-huuze bidhaa (mf.matangazo,t-shirts)
3-matamasha (kiasi gani umeingiza ndani na nje ya nchi) sasa kiulinganisho wa vigezo hivi je nature wako anafikia kwa Almasi???? (kumbuka kama unampenda msanii utanunua kazi yake sio kusukuma gari yake au kushangilia haya ni nyongeza tu)
nakubaliana kidogo na wewe ila mlinganisho wako lazima uwe kwa muda husika ,enzi za kina nature mziki haukuwa unalipa kama sasa nature angekuwa juu miaka hii angetisha ,kumbuka unaongelea mika kumi iliyopita,ngoja nikupe mfano mwingine,banana zoro na baba yake mzee zahir ali zoro nani mkali? jibu ni zahir ali ni mkali sana lakini hakufanikiwa kimziki in terms of uchumi kama mwanae sababu ya enzi zile mziki ulikuwa haulipi,huwezi kujaji mafanikio ya mtu kimziki kwa kuhesabu mademu zake na magari yake wengine wanauza sembe
 
Back
Top Bottom