Kuna Mtu ameapa mahala na Kujiaminisha kuwa Chama anaenda Yanga SC na kama haendi afanyiwe Kitu ambacho hakielezeki Kiurahisi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nilishawaonyeni sana hapa kuwa msipende sana Kubeti au kutoa Ahadi hasa kwa Masuala yahusuyo Simba na Yanga kwani upo Uwezekano mkubwa wa kuja Kuumbuka mbele ya Safari. Kuna dalili za 99% naziona za Mtu Mmoja maarufu sana Mitandaoni Kuumbuka na Watu kutaka Kukitimiza kile ambacho katika Biblia na Quran hakikubaliki ila Yeye aliahidi huku akijiaminisha kabisa kuwa Chama anahamia Yanga SC kwakuwa Kahakikishiwa.

Kama kweli Chama atahamia Yanga SC basi itakuwa ndiyo Pona yake ila asipohama na akibakia Simba SC tujiandaeni kumuonea Huruma kwani tayari kuwa Masela wameshaanza Kujiandaa kwa Maangamizi ya Kibaiolojia dhidi yake yatakayopita Mitaa yote ya Yombo na Kuishia pale kwa Mpalange.
 
Post zaidi ya 5 kwa siku ila zote ni upupu tu.

Embu kunywa dawa zako kwanza maana inaonekana leo umesahau
 
Nasubiri huyo mtu hapa nakunywa alkaswiswi na nafuta ya mgando ninayo......... Dili buma wakurungwa tufaidi vyetu.
 
Nasubiri huyo mtu hapa nakunywa alkaswiswi na nafuta ya mgando ninayo......... Dili buma wakurungwa tufaidi vyetu.
Kwani aliahidi kuyasalimisha marinda yake? Kama ameahidi basi wajuzi wa hayo mambo mpeni haja ya moyo wake.
 
Kwanzaa chama mwenyechiba Sisi's yangawanini atuitajiwalemavu
 

Attachments

  • FB_IMG_1716647509212.jpg
    10.1 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1706295099828.jpg
    44.2 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1713799997765.jpg
    53.3 KB · Views: 3
  • FB_IMG_1696576702958.jpg
    8.2 KB · Views: 3
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…