Kuna mtu amelewa anatishia bastola

Kuna mtu amelewa anatishia bastola

Wenye waume zenu wenye bastola muwe makini upepo siyo mzuri
 
hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zang mara gafla kuna mtu anatoa bastola.

Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.
Mkuu asubuhi hii inalewa au tukio ni la jana?
 
Vibali vikaguliwe upya
Kukagua haisaidii sana maana watu wana vibali sahihi....Tatizo wanapokaa viti virefu na kunywa maji flani,
Kinachafaa kuangaliwa ni zile kamati za usalama za awali kufatilia wale wenye tabia mbaya na kuwafutia/kusimamisha vibali.
 
hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zang mara gafla kuna mtu anatoa bastola.

Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.
Acha uoga wewe! Kwani kuna kosa gani mtu kutoa bastola yake wakati wewe unakunywa hizo bia zako? Au alikulenga kichwani?
 
Hapa Morogoro maeneo ya Joradani university kuna grocery napata bia zangu mara gafla kuna mtu anatoa bastola.

Polisi Tanzania muwe makini sana maana hawa watu watatumaliza.
Umejisikia tu kujiandikia... Yaani unataka polisi wapite grocery zote jirani na Jordan kutafuta ni nani ana bastola?
Jitahidi kuhudhuria vipindi usije kupata sup.
 
Ogopeni sana kukaa-kaa hovyo na wanawake. Iwe ni kazini kwenu, supermarket, mpirani, sijui grocery, nk.
Hivi sasa watu wamepinda. Wana hamu sana ya kujaribu bastola zao kama kweli zinaua au la!!
Wanatafuta vichwa vya majaribio!
 
take care sana na maisha yako mzee ukileta uzwazwa soon unakua maarfu ad milard ayo anakupost
 
Ogopeni sana kukaa-kaa hovyo na wanawake. Iwe ni kazini kwenu, supermarket, mpirani, sijui grocery, nk.
Hivi sasa watu wamepinda. Wana hamu sana ya kujaribu bastola zao kama kweli zinaua au la!!
Wanatafuta vichwa vya majaribio!

Wakishaua na wao huishia kujiua. Ovyo kabisa
 
Back
Top Bottom