Kuna mtu anaweza kuniambia faida za Wabunge Tanzania?

Kuna mtu anaweza kuniambia faida za Wabunge Tanzania?

Cashman

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2018
Posts
3,017
Reaction score
5,294
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na bunge.Sheria iwe mbaya ama nzuri.Hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana...
Mimi sizioni
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na bunge.Sheria iwe mbaya ama nzuri.Hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana.
Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.
Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.
Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.
Ila ukweli ni kuwa,mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.
Je huko unakoishi,umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Hao watu hawana tofauti na wafanyakazi hewa!!.
😅
 
Pale ni kutimiza takwa la Katiba tu, kwa vile imesema tuwe na bunge. Ukiondoa hapo hakuna faida yeyote. Nchi inaingia gharama bure kabisa
 
Bunge la Samia Halina meno hata kidogo.Limekuwa bunge saidizi la mhimili wa samia.chochote kinachopendekezwa na serikali bunge letu kibogoyo lazima likiunge mkono hata kama wakiambiwa kesho wabunge wote wakanye uwanja wa taifa wataunga mkono.
 
Kwani kuna bunge?

Tangu 2020 ni vikao vya CCM ndio vinafanyika kwenye ukumbi wa bunge.
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa,mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi,umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Kwa aina ya wabunge waliopo sasa hivi ni bora tusingekuwa na bunge kabisa hawana faida yoyote. Wamegeuka kuwa rubber stamp ya serikali.
 
Back
Top Bottom