Kuna mtu anaweza kuniambia faida za Wabunge Tanzania?

Kuna mtu anaweza kuniambia faida za Wabunge Tanzania?

Bunge la Samia Halina meno hata kidogo.Limekuwa bunge saidizi la mhimili wa samia.chochote kinachopendekezwa na serikali bunge letu kibogoyo lazima likiunge mkono hata kama wakiambiwa kesho wabunge wote wakanye uwanja wa taifa wataunga mkono.
🤣
 
umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Ndio, faida mojawapo ni;
1.Kutafuna kodi za wananchi kwa kujilimbikizia mishahara minono na marupurupu, bila kujali hali duni za wananchi wanaodai wanawatumikia.
Nyingine ni kujilimbikizia mali kama ardhi, kufanya biashara na taasisi za serikali etc!

Naomba kuwasilisha.
 
Ndio, faida mojawapo ni;
1.Kutafuna kodi za wananchi kwa kujilimbikizia mishahara minono na marupurupu, bila kujali hali duni za wananchi wanaodai wanawatumikia.
Nyingine ni kujilimbikizia mali kama ardhi, kufanya biashara na taasisi za serikali etc!

Naomba kuwasilisha.
Faida ni Faida tu
 
Tunahitaji bunge dogo, na wabunge wapatikane kWa mchujo mkali

Wabunge 200 wanatosha mno

Unganisheni majimbo
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Ukweli faida yao ni zero. Kwa Taifa. Hawachambui, kuhoji au kuomba marekebisho ya sheria.

Mtikila alikuwa ana faida kuliko bunge lote. Hata Warioba ana faida kuliko bunge lote leo.
 
Ukweli faida yao ni zero. Kwa Taifa. Hawachambui, kuhoji au kuomba marekebisho ya sheria.

Mtikila alikuwa ana faida kuliko bunge lote. Hata Warioba ana faida kuliko bunge lote leo.
Hawa hata wangekufa wote mimi ningeona sawa tu Taifa lingepungukiwa na mzigo.
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Mwashambwa na washirika wanakuja majibu wanayo.
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Faida yao ni kubwa sana ...ni kula kwa bidii na ku💩kwenye zoo inayoitwa bunge
 
Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.

Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.

Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?

Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.

Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.

Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.

Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.

Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Rubber stamp
 
Back
Top Bottom