Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
🤣Bunge la Samia Halina meno hata kidogo.Limekuwa bunge saidizi la mhimili wa samia.chochote kinachopendekezwa na serikali bunge letu kibogoyo lazima likiunge mkono hata kama wakiambiwa kesho wabunge wote wakanye uwanja wa taifa wataunga mkono.
Mie naangalia rula ilionyooka, dadekMkuu uneona nchi za kuiga mfano ukaona Uganda? We utakwa mnyarwanda😅😅
Ndio, faida mojawapo ni;umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Faida ni Faida tuNdio, faida mojawapo ni;
1.Kutafuna kodi za wananchi kwa kujilimbikizia mishahara minono na marupurupu, bila kujali hali duni za wananchi wanaodai wanawatumikia.
Nyingine ni kujilimbikizia mali kama ardhi, kufanya biashara na taasisi za serikali etc!
Naomba kuwasilisha.
Ukiset 200 tu Chawa watakula wapi Ndugu?Tunahitaji bunge dogo, na wabunge wapatikane kWa mchujo mkali
Wabunge 200 wanatosha mno
Unganisheni majimbo
WameshashibaUkiset 200 tu Chawa watakula wapi Ndugu?
Ukweli faida yao ni zero. Kwa Taifa. Hawachambui, kuhoji au kuomba marekebisho ya sheria.Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.
Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?
Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.
Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.
Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.
Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.
Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Hawa hata wangekufa wote mimi ningeona sawa tu Taifa lingepungukiwa na mzigo.Ukweli faida yao ni zero. Kwa Taifa. Hawachambui, kuhoji au kuomba marekebisho ya sheria.
Mtikila alikuwa ana faida kuliko bunge lote. Hata Warioba ana faida kuliko bunge lote leo.
Mwashambwa na washirika wanakuja majibu wanayo.Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.
Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?
Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.
Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.
Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.
Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.
Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Faida yao ni kubwa sana ...ni kula kwa bidii na ku💩kwenye zoo inayoitwa bungeKwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.
Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?
Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.
Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.
Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.
Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.
Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?
Ngoja Lucas anakuja analo neno la kusemaFaida yao ni kubwa sana ...ni kula kwa bidii na ku💩kwenye zoo inayoitwa bunge
Rubber stampKwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali.
Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge.
Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini wabunge waendelee kuwepo?
Kitu kinyonge hakina uwezo wa kusimamia kitu chenye nguvu.Tuliwahi kuambiwa kuwa,mhimili mmoja umejichimbia mizizi chini sana kiliko mihimili mingine.
Tunaona ukweli huu pale ambapo CAG anakuja na ripoti zinazoashiria wizi wa kutisha ambao unajionesha kwenye utajiri wa,ghafla wa baadhi ya mawaziri na wale walio karibu na serikali.
Imefika mahali baadhi ya watu hao wanasema kwa sasa pesa ni nyiingi mno kiasi kwamba wanashangaa kwa nini wengine hawazipati.
Ila ukweli ni kuwa, mianya ya kupiga hela za serikali,imerahisishwa kwa baadhi ya watu wachache.Kuona wanajenga mahekalu na kununua magari makubwa ni kitu cha kawaida.
Je huko unakoishi, umewahi kuona faida ya kuwa na mbunge?