well hapa mzee anaonyesha mzigo wa mapungufu umemlemea!!!kilichobaki ni kuutua tu!!full stop!!!
Mbona mimi nimshaweka wazi msimamo wangu?
My wife (Bibi) anaweza kukata mitaa ila asifumaniwe. Kama akifumania mara moja basi uamuzi utategemea na status yangu. Kama na mimi nimewahi kuzini nje ya ndoa nitamsamehe bila kinyongo. Ila nikimfumania mara ya 2 ni basi tena, huyo si riziki!
Nimeeleweka??
Aendelee kukusamehe kwa maana imeandikwa,Msamehe anayekukosea hata saba mara sabini.Hivi kama mume wako anakupenda na kukujali kwa kila kitu kisha huko nyuma hukuwa mwaminifu na ukakubali na akakusamehe. ukarudia tena mara 2 au tatu na akakuonya na kukusamehe. Je akikukukuta tena una mahusiano nje ya ndoa akufanye nini?
Mbarikiwe sana.
Nimesahau kuanza na Salamu, ila nina Imani nyote hamjambo. Karibuni kikombe cha chai hapa. Haya tunaomba msaada wa mawazo wapendwa.
Hivi nilikusamehe vile mara ngapi maana sikumbuki ila ni zaidi ya mara saba
Hivi nilikusamehe vile mara ngapi maana sikumbuki ila ni zaidi ya mara saba
...ha ha ha! duuhh imenibidi nicheke hapa
jamaa is so deluded!
Inabidi arudi kwenye drawing board.
Haki ya nani sikutarajia jamaa angejibu hivyo.
LD, stay far from him
Am out of this.
Red bold NDIO TATIZO LD wangu!
Kama jamaa anampita bi dada kwa 22 yrs...basi kuna kitu mdada anakikosa. Hukutuambia mdada ana miaka mingapi na je alimuoa baada ya kumpa ujauzito au ilikuwaje? Mdada alirukia kuolewa kwa vile mkaka ana faranga au ilikuwaje?
Lizzy embu rejea sentensi aliyosema kaka kwa ld hapo juu sioni kama ana maamuzi ila ana maumivu hajui la kufanya sana sana anaweza kupata msukumo wa third part kufanya maamuzi ambao unaweza usiwe wakwake mwisho wa siku ukaona karudi kwa mwanamama huyo huyo anayemuumiza.
Kuna majibu hapa, wapendwa!!!
Hukutuambia mdada ana miaka mingapi (26) na je alimuoa baada ya kumpa ujauzito (HAPANA) au ilikuwaje (HAWANA MTOTO) Mdada alirukia kuolewa kwa vile mkaka ana faranga au ilikuwaje (WALIPENDANA) na wapo pamoja Five years sasa.
Samahani Mbu,
Kwenye mambo ya ngono hakuna reasoning hata kidogo. Ni mambo ya emotions tu. Ndo maana bada ya hayo mambo watu wengine hujilaumu sana. Ila kwenye suala la kuhandle mahusiano ndipo ambapo reasoning kubwa inatakiwa sana. Sasa huyo dada amepoteza uwezo wa ku-reason ndo maana anajikuta anapelekeshwa na emotions. Dawa yake ni likizo ya muda au for good!
mapenzi ni pale unapoona umeridhika na kuwa na uwezo wa kubeba mapungufu ya mwenzio ndo maana wengine unawaona vinganganizi labda akipiga mahesabu ya alipotoka anaona kuna afadhali ingawaje kwa nje lizzy unaweza ukawa unamuonea huruma lakini yeye anaona mambo ya kawaida na unauwezo wa kuyabeba.
NDIO MAANA HATA VIWANGO VYA UVUMILIVU WETU VIMETOFAUTIANA MWINGINE AKIHISI TU IMEKULA KWAKO MWINGINE ANAELEWA KILA KINACHOENDELEA LAKINI ANAFUNGA MACHO ASIPATE UTHIBITISHO.
HEEE!! TARATIBU BWANA KAKAE EHHHH!!
SIJAHALALISHA KITU NAJARIBU KUTAFUTA JIBU. Jibu kama hulipendi potezea .
Kwani aliyekuambia huyo bi dada ni wa OHIO nani? Tatizo lenu wanaume mnajifanya ni kipimo cha utimilifu kwa maneno lakini matendo yenu yanatisha kwa uoza! Kama makaburi yaLiyowekwa maru maru ya gharama kubwa wakati ndani ni uoza wa maiti!JIREKEBISHENI KAMA HAMTAKI WAKE ZENU WATOKE NJE.
Kuna majibu hapa, wapendwa!!!
Hukutuambia mdada ana miaka mingapi (26) na je alimuoa baada ya kumpa ujauzito (HAPANA) au ilikuwaje (HAWANA MTOTO) Mdada alirukia kuolewa kwa vile mkaka ana faranga au ilikuwaje (WALIPENDANA) na wapo pamoja Five years sasa.
But guys let's face it. Hivi kweli mwanaume mzima na akili yako timamu, pride yako, self esteem yako, na mengine mengi yanayokufanya mwanaume uwe mwanaume, unaweza kweli kumsamehe mkeo mliyeliana naye viapo vya kuaminiana huku ukijua kuna jamaa wengine wanamla au wameshamla ilhali akiwa mkeo?
Unasamehe kabisa bila kinyongo wala gubu na mnaendelea kuishi kwa amani na furaha? Hivi kweli kabisa hii inawezekana? I just can't wrap my mind on how this could be possible...I just can't.
kuna majibu hapa, wapendwa!!!
Hukutuambia mdada ana miaka mingapi (26) na je alimuoa baada ya kumpa ujauzito (hapana) au ilikuwaje (hawana mtoto) mdada alirukia kuolewa kwa vile mkaka ana faranga au ilikuwaje (walipendana) na wapo pamoja five years sasa.
HEEE!! TARATIBU BWANA KAKAE EHHHH!!
SIJAHALALISHA KITU NAJARIBU KUTAFUTA JIBU. Jibu kama hulipendi potezea .
Kwani aliyekuambia huyo bi dada ni wa OHIO nani? Tatizo lenu wanaume mnajifanya ni kipimo cha utimilifu kwa maneno lakini matendo yenu yanatisha kwa uoza! Kama makaburi yaLiyowekwa maru maru ya gharama kubwa wakati ndani ni uoza wa maiti!JIREKEBISHENI KAMA HAMTAKI WAKE ZENU WATOKE NJE.
But guys let's face it. Hivi kweli mwanaume mzima na akili yako timamu, pride yako, self esteem yako, na mengine mengi yanayokufanya mwanaume uwe mwanaume, unaweza kweli kumsamehe mkeo mliyeliana naye viapo vya kuaminiana huku ukijua kuna jamaa wengine wanamla au wameshamla ilhali akiwa mkeo?
Unasamehe kabisa bila kinyongo wala gubu na mnaendelea kuishi kwa amani na furaha? Hivi kweli kabisa hii inawezekana? I just can't wrap my mind on how this could be possible...I just can't.
Actually i can see it closer closer:lol::lol::lol::lol:Mbu smelling trouble a mile off....actually trouble around the corner...:lol:
...mstaafu,
inaniwia vigumu kulinganisha utu na mali. Ndoa ni utu bana,...athari zake hazikuumizi mtalaka pekee, zinamuathiri mtalikiwa, ndugu, jamaa na marafiki. Mbaya zaidi, iwapo watoto na mali zilihusishwa...aisee we acha tu bana. Haya mambo uhadithiwe, I've been there!
...hakuna kipimo cha ustahmilivu bana, kila mtu na kiwango chake cha huruma kutokana na experience ya maisha ilivyom-shape. Bahati mbaya au nzuri najihisi huruma yangu inaniponza, kwa hiyo wewe nisamehe tu humu.
Naogopa kukuuliza huyo "braza-kaka" ana nia gani na wewe.
Jisikilize kisha uliza hilo swali upande wa pili wa mla kiapo!