Kuna mtu kaniuliza hili swali jamani, anataka msaada wa Mawazo yenu. Maji yamemfika shingon


Mheshimiwa Mbu, nimekusikia, nayafanyia kazi accordingly.
Hiyo red hapo, huwa natoaga shikamoo aiseee!!!
 
Reactions: Mbu
Interesting question....
Mbu is in the same wavelength....

...we acha tu,...cheki jibu la LD hapa;

Dah shosti, hebu tuliache kwanza hilo swali!!!
Niambie shostito kaka huyu anamuacha je huyu kipenzi chake jamani.

...yaani mpaka kieleweke!
Shughuli!

 
Tatizo kubwa hapa ni maambukizi ya ukimwi.Wahenga walisema 'wema usizidi uwezo' na 'mchelea mwana kulia mwisho hulia yeye' vinginevyo huyu bwana azidi kusali na kuomba ili babu wa loliondo azidi kuwa hai maana mwisho wa siku huyu mama ataleta janga ndani.
 
kumbuka kuwa katika hivyo viapo pia,
mlisema kuwa mtakuwa pamoja katika,
shida na raha!!!!!!

Sawa, shida na raha lakini siyo karaha za kuhatarisha maisha ya mwenzio kwa tamaa zako....
 
...we acha tu,...cheki jibu la LD hapa;



...yaani mpaka kieleweke!
Shughuli!



Dah Mbu!! Haya bwana, lakini ndo hivo !!!
 
Reactions: Mbu
...mtumeeee! ....
St R.R na The Finest, mlipuko wapi huo?
"Mbagala" au "Gongo la Mboto?"

Naacha kuchangia aisee...sasa hivi nasoma tu...:first:
 
na wote tusali maana usiyoyajua ni sawa na usiku wa kiza.


 
...HA HA HA!...
LD, haki ya nani nimekusoma kwa herufi kubwa.
Nice one, ha ha ha

Shauri yako, angalia usiingie chaka.
Manake ukweli na ujua mimi kuliko mtu mwingine yeyote hapa.
Cha msingi nilichokuwa nakihitaji nimeshakipata, na nimeshakifikisha kwa mwenye mahitaji ya ushauri.
Mbarikiwe wote.
 
Shauri yako, angalia usiingie chaka.
Manake ukweli na ujua mimi kuliko mtu mwingine yeyote hapa.
Cha msingi nilichokuwa nakihitaji nimeshakipata, na nimeshakifikisha kwa mwenye mahitaji ya ushauri.
Mbarikiwe wote.

Akishammwaga..kama humtaki njoo utuambie tujipange
 
Shauri yako, angalia usiingie chaka.
Manake ukweli na ujua mimi kuliko mtu mwingine yeyote hapa.
Cha msingi nilichokuwa nakihitaji nimeshakipata, na nimeshakifikisha kwa mwenye mahitaji ya ushauri.
Mbarikiwe wote.

Amen,
na wewe pia LD.
Thanks for the Topic of the Day.













...msalimie kaka....!!!
AMEN!
 
Shauri yako, angalia usiingie chaka.
Manake ukweli na ujua mimi kuliko mtu mwingine yeyote hapa.
Cha msingi nilichokuwa nakihitaji nimeshakipata, na nimeshakifikisha kwa mwenye mahitaji ya ushauri.
Mbarikiwe wote.

LD usisahau feedback lol haha haha maskni ukute dume zima limesamehe tena tutalidharau!! mwambie asikilize wimbo wa huu

 
Last edited by a moderator:
LD usisahau feedback lol haha haha maskni ukute dume zima limesamehe tena tutalidharau!! mwambie asikilize wimbo wa huu



Ha ha ha ha, MR, nimwambie aje huko umpige shule nini??
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha ha, MR, nimwambie aje huko umpige shule nini??

Hahaha tena shule ya nguvu kwanza nitaanza kumpiga makofi kwann atomb*** mara hote hizo anamsamehe lol anajitia aibu bwana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…