Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 150
Kuna maufundi wanagawa kule Bwagamoyo ni balaaa unaweza kujikuta unambeba mtu mgongoni :lol::lol::lol:Ving'ang'anizi kama nnavyowaita!!!Yani utadhani walizaliwa pamoja!!!Mapacha tu wanatengana sembuse mtu ulikutana nae ukubwani!!!Kweli inabidi itafutwe dawa ya kuwapa watu hali ya kujiamini maana hilo ndo tatizo haswa!!!Hapo utakuta amejiaminisha kwamba hatapendwa/pata mwingine!!
Hapa cha kushukuru mungu ni kwakuwa huyo,
umemfumania live, au unmemuona live zaidi ya mara moja,
kuna wengine wanachakachua huko nje kimya kimya na bado wanasonga mbele na ndoa zao,
je hapo napo vipi?
...kwenye red patamu hapo.
"...na aliye msafi awe wa mwanzo kutupa jiwe!"
LD jibu hilo!
...duuu, nimejichokea mie.
ama mstaafu hapa umepigilia msumari kwenye jeneza.
Kuna maufundi wanagawa kule Bwagamoyo ni balaaa unaweza kujikuta unambeba mtu mgongoni :lol::lol::lol:
Sasa kama mwenzio hujamkamata utamwitaje mzinzi au mwizi?
Kama unaweza kunywa wine kidogo kwa afya na usichakachuke mbona hiyo imeruhusiwa?
Binafsi sina tatizo kama mwenzangu atakuwa anabanjua responsively...na kuhakikisha mimi mwenyewe sijui na wala hanivunjii heshima yangu kwenye jamii.
Ndo maana hata siku ile Yesu alipowambia watu wamtwange mawe mwanamke mkware wote walitimua mbio.
Hizi nafsi zinaficha mengi...Na hilo ndo suala la kuheshimu na kusonga mbele. Nilishawahi kusema kuwa mimi naishi kwa kanuni ya imani...kwamba bibi hagawi tunda hadi nikapothibitisha beyond doubt...Ila sitamani kuona wala kusikia kitu kama hicho...I am safe to be unaware!
Hakuna mwanaume rijali anayeweza kukusamee mara zote hizo, labda awe amelogwa.
Mi naona aendelee kumsamehe tu :crazy:..mhh!na ana moyo!!!kama alimsamehe mara zote hizo na wakaendelea vizuri..why not now?
mbona wanawake huwasamehe wanaume mara nyingi tuu.
sasa zamu yao,kibaya ni kwamba huyo ndo amebeba msalaba wa wote.
Amsamehe tena maisha yaendelee
Hakuna kulogwa mwanaume mzima huyo jamani muacheni na ndoa yakeHayupo Asprin nakuunga mkono tena atakuwa amelogwa si kidogo huyo mara tatu??
Hakuna kulogwa mwanaume mzima huyo jamani muacheni na ndoa yake
Una uhakika hakuna mwanaume anayeweza kusamehe zaidi ya mara tatu????Kwani sisi tumemfanyaje hapa??
Huoni kuwa kila mwanajamvi anaposema kuwa ni ngumu sana kufanya hivyo kwa mwanaume rijali, wewe umekazania kuwa labda ni mapenzi mazito na blah blah yingine. Huyo jamaa yako sio bure labda sio mzima au ashapigwa ufundi wa Bwagamoyo. Kwangu mimi ile mara ya kwanza tu ni kadi nyekundu straight.
Huoni kuwa kila mwanajamvi anaposema kuwa ni ngumu sana kufanya hivyo kwa mwanaume rijali, wewe umekazania kuwa labda ni mapenzi mazito na blah blah yingine. Huyo jamaa yako sio bure labda sio mzima au ashapigwa ufundi wa Bwagamoyo. Kwangu mimi ile mara ya kwanza tu ni kadi nyekundu straight.
Asante dada mtamu!
Wao twawasamehe kila siku na hawakomi.
Kwa wanaume JF.
Ikiwa wewe unatembea sana nje ya ndoa siyo ajabu na mkeo.mwanamke wako naye akatoka nje.Unachokiona chafaa kuliwa huko nje naye ataona chafaa. Kuna kitu cha kisaikolojia hapa. Mtu unapomsaliti mwenzio hata mara moja ule "mzimu" lazima utake na upande wa pili.Uiza wanaotembea nje wana maisha gani ya mahusiano.Utagudua wana maishu kibao ya kukoseana uaminifu.Kumaliza hili mnatakiwa muombewe hilo. pepo liwatoke.
LD...huyo alokuuliza unamjua vizuri?Ana tabia gani? Ana macho miamia?
Mimi naona wote wanaibiana tu lakini inakua bahati mbaya kwa mwanamke kufumaniwa. Hiyo ni sawa sawa na watu wawili kuiba sukari kwa time tofauti halafu mmoja atumie kioo kufuta punje za sukari kwenye mdomo na mwingine ajifute kawaida. Then after sometime sukari inaisha hapo ndio waanza kuulizana eventually, aliejifuta kawaida anakamatwa na punje za sukari karibu na mdomo wake. Definitely atamsamehe kwavile wote wezi. So hapo mmoja wao ndio anajua kwamba wote wezi halafu mwingine anajua mwenzie sio mwizi hadi hapo bcoz hajamfumania. It is just a matter of time factor.
Kwa mwanaume ambae sio mwizi kweli hawezi vumilia mara ya pili, he will just deform you! Hapo the bottom line is wote wezi.