Kuna Mtu kawa Fixed kuwa akipambanie Chama na kwamba 2025 Yeye ndiyo atakuwa ama VP au PM

Kuna Mtu kawa Fixed kuwa akipambanie Chama na kwamba 2025 Yeye ndiyo atakuwa ama VP au PM

Na baada ya Kumsoma na Kumjua kuwa ni Mshamba,. Akili hana na mpenda Sifa na Ukubwa wamemlevya kwa Kumdanganya na Nguvu Kubwa aliyopewa sasa, Ulinzi, Fedha za Kuchezea na Msafara mrefu wa Magari.

Yaani ninamuonea mno tu Huruma.
Usijiume ume, mtaje tu kwamba Ni Bashite aliyelaaniwa.
Jana kashindwa kutatua tatizo la yule mama mwenye mtoto aliyepotea akiwa mikononi mwa RPC.
RPC Mara aseme hiyo kesi anaijua, Mara hamjui huyo dogo, mama dogo anasisitiza dogo alikua rafiki wa RPC na mwisho walikua wote tarehe 24 siku dogo aliyopotea.
 
Umejuaje Mkuu?
Yule Bashte alivokua Majalalani kule hata kama halipwi wamemheshimisha sana amshukuru Mama.
 
Na baada ya Kumsoma na Kumjua kuwa ni Mshamba,. Akili hana na mpenda Sifa na Ukubwa wamemlevya kwa Kumdanganya na Nguvu Kubwa aliyopewa sasa, Ulinzi, Fedha za Kuchezea na Msafara mrefu wa Magari.

Yaani ninamuonea mno tu Huruma.
Mtamsema sana huyu jamaa ila ukweli mchungu he is the best and anakubalika sana na wananchi. Anachofanya ni s ehemu ya majukumu yake. And every one has a role model, yeye wake ni jpm and me too, ndiye kiongozi aliyeona anafaa kumuiga
 
Unaweza usimkubali Paul, lakini jamaa ana ushawishi na hamasa kubwa kwa wananchi. Kubali au kataa, miaka 3 tangu mama awe madarakani, hakuna waziri, mkuu wa wilaya au mkuu mkoa siyo tu mbunge aliyeonyesha ushawishi na hamasa kubwa mpaka sasa, ukweli ni kwamba Paul amekibeba chama. UKWELI USEMWE.
 
Unaweza usimkubali Paul, lakini jamaa ana ushawishi na hamasa kubwa kwa wananchi. Kubali au kataa, miaka 3 tangu mama awe madarakani, hakuna waziri, mkuu wa wilaya au mkuu mkoa siyo tu mbunge aliyeonyesha ushawishi na hamasa kubwa mpaka sasa, ukweli ni kwamba Paul amekibeba chama. UKWELI USEMWE.
Kama hamasa ingekuwa ni kitu cha maana Mgunda na Taifa stars yake wangebaki Afcon.
 

Attachments

  • tapatalk_1488873578481.jpeg
    tapatalk_1488873578481.jpeg
    79.3 KB · Views: 2
Makonda is a G O A T. Mama akimaliza muda wake amkabidhi makondraa kijiti
 
Sasa mtoto ni wangu halafu unanishangaa kumuita keagen
 
Na baada ya Kumsoma na Kumjua kuwa ni Mshamba,. Akili hana na mpenda Sifa na Ukubwa wamemlevya kwa Kumdanganya na Nguvu Kubwa aliyopewa sasa, Ulinzi, Fedha za Kuchezea na Msafara mrefu wa Magari.

Yaani ninamuonea mno tu Huruma.
Unaogapa nini kumtaja huyo mashamba makonda. Hii nchi watanzania tukiendelea kuwachekea Hawa wendawazimu ccm tutaumia Sana.
Ifike mahali tuanze kudeal na hao wananchi wanao pewa book tannotano kwenda kwenye mkutano Yao. Hata vyombo vya Habari vinavyo rushwa ujinga wao wa maigizo Yao tuvisusie.
 
Usijiume ume, mtaje tu kwamba Ni Bashite aliyelaaniwa.
Jana kashindwa kutatua tatizo la yule mama mwenye mtoto aliyepotea akiwa mikononi mwa RPC.
RPC Mara aseme hiyo kesi anaijua, Mara hamjui huyo dogo, mama dogo anasisitiza dogo alikua rafiki wa RPC na mwisho walikua wote tarehe 24 siku dogo aliyopotea.

kweli kabisa hapo alichemsha makonda na kesi hiyo inaonekana RPC kampoteza huyo dogo hata anavyojibu rpc ni shida
 
Mtamsema sana huyu jamaa ila ukweli mchungu he is the best and anakubalika sana na wananchi. Anachofanya ni s ehemu ya majukumu yake. And every one has a role model, yeye wake ni jpm and me too, ndiye kiongozi aliyeona anafaa kumuiga
Hao Jamaa ni wivu tuu
 
Na baada ya Kumsoma na Kumjua kuwa ni Mshamba,. Akili hana na mpenda Sifa na Ukubwa wamemlevya kwa Kumdanganya na Nguvu Kubwa aliyopewa sasa, Ulinzi, Fedha za Kuchezea na Msafara mrefu wa Magari.

Yaani ninamuonea mno tu Huruma.
Wivu tuu hata asipokuwa na hivyo Vyeo ukweli ni kwamba Bashite anawazidi.
 
Na baada ya Kumsoma na Kumjua kuwa ni Mshamba,. Akili hana na mpenda Sifa na Ukubwa wamemlevya kwa Kumdanganya na Nguvu Kubwa aliyopewa sasa, Ulinzi, Fedha za Kuchezea na Msafara mrefu wa Magari.

Yaani ninamuonea mno tu Huruma.
Kuwa kwako mwandishi wa habari hakukupi haki yoyote ya kusumbua watu na kuwatukana ovyo ovyo mshamba wewe.
 
Kwahiyo mkuu GENTAMYCINE Hapo unajiona umeandika kwa code [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom