Kuna Mtu kawa Fixed kuwa akipambanie Chama na kwamba 2025 Yeye ndiyo atakuwa ama VP au PM

Kuna Mtu kawa Fixed kuwa akipambanie Chama na kwamba 2025 Yeye ndiyo atakuwa ama VP au PM

Usijiume ume, mtaje tu kwamba Ni Bashite aliyelaaniwa.
Jana kashindwa kutatua tatizo la yule mama mwenye mtoto aliyepotea akiwa mikononi mwa RPC.
RPC Mara aseme hiyo kesi anaijua, Mara hamjui huyo dogo, mama dogo anasisitiza dogo alikua rafiki wa RPC na mwisho walikua wote tarehe 24 siku dogo aliyopotea.
kwamba alitakiwa atoe amri RPC amlete mtoto wa watu hapo anamsubiri alitakiwa ampe mimba nyingine huyo mama kama fidia!!!
 
Wabongo mnapenda matukio
Mnafurahi kuona mtu kapanda mtumbwi mara panda kesho greda
Mara kapanda guta ....hapo mnakamatika

Ova
Mimi izo circus hazinihusu..nnachopenda kwa jamaa ni vile anavofanya jambo lake akidhamiria
 
Back
Top Bottom