Kuna Mtu kawa Fixed kuwa akipambanie Chama na kwamba 2025 Yeye ndiyo atakuwa ama VP au PM

kwamba alitakiwa atoe amri RPC amlete mtoto wa watu hapo anamsubiri alitakiwa ampe mimba nyingine huyo mama kama fidia!!!
 
Wabongo mnapenda matukio
Mnafurahi kuona mtu kapanda mtumbwi mara panda kesho greda
Mara kapanda guta ....hapo mnakamatika

Ova
Mimi izo circus hazinihusu..nnachopenda kwa jamaa ni vile anavofanya jambo lake akidhamiria
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…