LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Ilikuwa kwenye mjadala kuhusu maoni ya Harmonize kwamba katika miaka ishirini aliyo ishi duniani amegundua kwamba huenda Mungu ni mwanamke..
Wenye dini zao wanasema Harmonize apigwe mawe kwa sababu amekufuru na kwamba " Mungu hafananishwi na kitu chochote kile"
Swali la jamaa lilikuwa:
1. Mlimuona wapi huyo Mungu hadi mje mtuambie kuwa hafananishwi na kitu chochote.
2. Kama Mungu hafananishwi na kitu chochote then mna tumia vielelezo gani kuthibitisha kwamba hivyo vitabu vyenu vimetoka kwake kwa sababu tayari mmeshasema hafananishwi na kitu chochote. Je hamuoni kwamba mnaji contradict?
Kama Mungu hafananishwi na kitu chochote basi maana yake hata Qur'aan na Bible haviwezi kuwa vitabu vyake kwa sababu ili tuseme kuwa hivyo ni vitabu vyake lazima ndani yake kuwemo na vitu vilivyo andikwa ambavyo tukivisoma ndio tuseme.ama kwa hakika vitu hivi vimetoka kwa Mungu jambo ambalo haliwezekani kwa sababu tayari mmeshasema hafananishwi na kitu chochote
Wenye dini zao wanasema Harmonize apigwe mawe kwa sababu amekufuru na kwamba " Mungu hafananishwi na kitu chochote kile"
Swali la jamaa lilikuwa:
1. Mlimuona wapi huyo Mungu hadi mje mtuambie kuwa hafananishwi na kitu chochote.
2. Kama Mungu hafananishwi na kitu chochote then mna tumia vielelezo gani kuthibitisha kwamba hivyo vitabu vyenu vimetoka kwake kwa sababu tayari mmeshasema hafananishwi na kitu chochote. Je hamuoni kwamba mnaji contradict?
Kama Mungu hafananishwi na kitu chochote basi maana yake hata Qur'aan na Bible haviwezi kuwa vitabu vyake kwa sababu ili tuseme kuwa hivyo ni vitabu vyake lazima ndani yake kuwemo na vitu vilivyo andikwa ambavyo tukivisoma ndio tuseme.ama kwa hakika vitu hivi vimetoka kwa Mungu jambo ambalo haliwezekani kwa sababu tayari mmeshasema hafananishwi na kitu chochote