- Thread starter
- #21
Au sioNJAA TUU 😏😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Au sioNJAA TUU 😏😁
N kweli mkuuSometimes inabidi ujilipue tu ili kupambania unachokitaka
Haina ulazima Mkuu kwani ndugu wote ushafahamiana nao? Kama bado wekeza nguvu kuwasaka wengine kwanza ambao ni rahisi kuwapataHuyo mtu ni very famous na nimegundua ni ndugu yangu wa damu kwa upande wa bi mkubwa lengo langu ni kutaka tufahamiane
wasaidizi ni wale machawa mfano kwa diamond kuna baba levo..kwa kiba yupo mwijaku..ndio kama hivyo yani na kwa ishu yako na hiyo mtu maarufu chunguza chawa wake mkubwa ni nani ukishamjua kisha mcheki huyo chawa ndie ata kuunganisha nae huyo staa anayekuzuzua.!Sasa wasaidizi wake ntawajuaje?
[emoji23][emoji23]wasaidizi ni wale machawa mfano kwa diamond kuna baba levo..kwa kiba yupo mwijaku..ndio kama hivyo yani na kwa ishu yako na hiyo mtu maarufu chunguza chawa wake mkubwa ni nani ukishamjua kisha mcheki huyo chawa ndie ata kuunganisha nae huyo staa anayekuzuzua.!
Na machawa nao meseji hazifiki🤣wasaidizi ni wale machawa mfano kwa diamond kuna baba levo..kwa kiba yupo mwijaku..ndio kama hivyo yani na kwa ishu yako na hiyo mtu maarufu chunguza chawa wake mkubwa ni nani ukishamjua kisha mcheki huyo chawa ndie ata kuunganisha nae huyo staa anayekuzuzua.!
SawaPunguza shobo.
Hao machawa nao wacheki machawa zaoNa machawa nao meseji hazifiki[emoji1787]
Ai 😂😂😂Huyo mtu ni very famous na nimegundua ni ndugu yangu wa damu kwa upande wa bi mkubwa lengo langu ni kutaka tufahamiane
Haina ulazima Mkuu kwani ndugu wote ushafahamiana nao? Kama bado wekeza nguvu kuwasaka wengine kwanza ambao ni rahisi kuwapata
Kama wote tayari basi huyo mpe nafasi akutafute wewe
Wao hawana machawaHao machawa nao wacheki machawa zao
Muulize Bi mkubwa,lazima atakua na mawasiliano nae tu.Huyo mtu ni very famous na nimegundua ni ndugu yangu wa damu kwa upande wa bi mkubwa lengo langu ni kutaka tufahamiane
Wakati akipita, jibamize kwenye gari lake ili asimame kwa kusababisha ajali.Jikite kwenye mada mkuu familia zina mambo mengi sana